Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kwahyo dada warembo unakuta wamegawa mbususu balaa. Ila katibu mwenezi mstaafu kapita na wanawake wengi sana had kazaa na mubongo movie mmoja pia alipita na DED mteuliwa ili apate ubunge viti maalumu
Wanaliwa sana,baadhi yao huwa wanapata vyeo na baadhi yao,hua wanabaki wanapuyanga tu mjini!

Mwenezi mstaafu,hii ni kashifa nzito sana,ajitafakari aiseeee
 
Hao ndo hua watafunaji wazuri! Kwa kimombo wanaitwa silent killer!! Kwani katele4n kuna mtu angedhani kama anamwaga mabeberu kwa Irene??
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]nimependa katele4n!!!!yaani kwanza nilivoambiwa nilichokaaaa balaaaa!acha kabisa
 
Huyo katelephone Hadi kwa shishi beibe kashapita naye huyo in short sio uwoya tu hata bongo movie wengine
Ka [emoji336][emoji336][emoji336] [emoji338][emoji338][emoji338] kumbe ni mbaya?? Ila acha tu wawatafune! Maana wao wanaamini kudanga ndiyo kunaweza kuwatoa kimaisha! Kumbe kuna wakati wahafidhina,hua wanaichakata tu,nakuiacha inasoma odometer za kwenda kua chakafu huko
 
Itakuwa mafuta yaliamishiwa makalioni, maana tanasha alikuwa na shape ya kihindi sasa hivi ana bonge la msambwanda wa hatari. Huyo mobeto atakuwa kafanya liposuction sijui
Yawezekana ndio hvyo hvyooo!!!yaani wadada naona wameamua kufanya vitega uchumi miili yao kwa hyo lazima waigharamie by any means maana ikifubaaa wameumia yaani kuna mlolongo baada ya mobeto wapo wanaenda kufanya hizo surgery...

yaani wanataka kuendelea kuwa top top mpk kieleweke maana hawana business zaidi ya miiili yao
 
Shilole ana akili na alitokea kwa shida so anajua maisha ni nini hata akidanga shilole ana nyumba kadhaa pia analea wale mabinti zake vizuri tu, Hamisa na yeye baada ya kuchekwa na watu na kuzalilishana na kina mama dangote na kina zarina akapata akili mpaka sasa ana mjengo wake mzuri tu mjini, na hata joketi hawawezi kufa njaa shida ni kubwa jinga uwoya ana danga na kufanya show off ka za teenager ha think about future aisee. Vera sidika kadanga vya kutosha na kuwekeza hana stress kajioopolea ki Ben ten chake anakula life
Kumbe kudanga kuzuri eee!
 
Yawezekana ndio hvyo hvyooo!!!yaani wadada naona wameamua kufanya vitega uchumi miili yao kwa hyo lazima waigharamie by any means maana ikifubaaa wameumia yaani kuna mlolongo baada ya mobeto wapo wanaenda kufanya hizo surgery...yaani wanataka kuendelea kuwa top top mpk kieleweke maana hawana business zaidi ya miiili yao
Shida hata uufanyie nini mwili kila kipindi huwa kina wakati wake ukipita hata ufanyaje haurudi ndio yaliyo mkuta wema.

Mobeto hata mtoto wa kwanza alitoa mafuta tumboni. Kiukweli mimi sionagi big deal na makalio sijui vile ni mwanamke
 
Ka [emoji336][emoji336][emoji336] [emoji338][emoji338][emoji338] kumbe ni mbaya?? Ila acha tu wawatafune! Maana wao wanaamini mbususu ndiyo inaweza kuwatoa kimaisha! Kumbe kuna wakati wahafidhina,hua wanaichakata tu,nakuiacha inasoma odometer za kwenda kua chakafu huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katelephone mubaya huyo in jotis voice loh. Ila hawa wasanii sanaa haiwalipi ni njaa Kali kilichobaki ni ujasiriamwili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom