Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yaani ukiona dada mrembo nikiongozi,ogopa sana! Leo kama umesoma huko IG wameanza kuvuana nguo kuhusu vyeo vyao vya kupeana huko! Mwenezi mstaafu na msanii wa maigizo wamefumuana huko hatari
Kwahyo dada warembo unakuta wamedanga balaa.

Ila katibu mwenezi mstaafu kapita na wanawake wengi sana had kazaa na mubongo movie mmoja pia alipita na DED mteuliwa ili apate ubunge viti maalumu
 
Yani na hizi surgery zao fake I think uwoya kaweka lips fillers sijui wanaita ka za kelly jenner. Naona hamisa naye kaongeza tako kwa mturuki naona limemharibu maana halitikisiki kabisa
Hamisa kaenda kutoa manyama ya tumbo na kuchonga kiuno hajaongeza tako shooo!ndo wanavofanya ujue ukitoa minyama uzembe tumboni kiuno kinakua nyigu na Kitako kinatokeza....!!!!ndo alichofanya
 
Aliumwa nusu kufa akakonda na kupata mapele na madonda mwili mzima nusura afe ndo akapona akaona azae mrithi
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]duhhh!balaa na kilo moja jamani!kumbeeee!mjini hapaaa!ukijua hili wenzio wanajua lile... Weeeee!
Naskia hivo mda mrefu tu anakula hivo vitu, ikiwemo yule DC mrembo zaidi na maarufu naye anakula hayo makitu
 
Hamisa kaenda kutoa manyama ya tumbo na kuchonga kiuno hajaongeza tako shooo!ndo wanavofanya ujue ukitoa minyama uzembe tumboni kiuno kinakua nyigu na Kitako kinatokeza....!!!!ndo alichofanya
Itakuwa mafuta yaliamishiwa makalioni, maana tanasha alikuwa na shape ya kihindi sasa hivi ana bonge la msambwanda wa hatari. Huyo mobeto atakuwa kafanya liposuction sijui
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom