Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Sasa wewe si unalo traco la asili?Shida hata uufanyie nini mwili kila kipindi huwa kina wakati wake ukipita hata ufanyaje haurudi ndio yaliyo mkuta wema. Mobeto hata mtoto wa kwanza alitoa mafuta tumboni. Kiukweli mimi sionagi big deal na makalio sijui vile ni mwanamke