cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Si huwa wana jiedit kuna video ilisambaa yuko kawaida tuIla uzuri wakawaida uwoya umemuona akiwa hajapaka makeup utashituka
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si huwa wana jiedit kuna video ilisambaa yuko kawaida tuIla uzuri wakawaida uwoya umemuona akiwa hajapaka makeup utashituka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa in-box yupo vizuri kuhonga hela zetu za tozo aisee, kumbe vibenten vya shishi bebi ni cover mwenye mshika mpini ni Mr. InboxIn box ndiye aliye finance mtaji wa mamantilie food
[emoji23][emoji23][emoji23]shishi usingizi wa Mr. In-boxWanaume huwa tunateseka sana Shi.. naye wakusumbua mtu?
Inaweza kuwa aisee, mi naona kawaida kikubwa ya kukalia inatoshaSiku zote mwanadamu huhangaikia asichokuwa nacho
We we we tema mate chini, Mnyamwezi anakata viuno yule, achaWanaume huwa tunateseka sana Shi.. naye wakusumbua mtu?
TOZO zetu zinateswa sanaIn box ndiye aliye finance mtaji wa mamantilie food
Duuh tunatofautiana sana[emoji23][emoji23][emoji23]shishi usingizi wa Mr. In-box anapunguzia wazungu weupe.
[emoji23][emoji23]Eti shishi naye wakusumbua mtu
[emoji23][emoji23][emoji23]zinatumika kwa machangu walioshindikana mjiniTOZO zetu zinateswa sana
Mmh kila mtu na hitaji lake, mimi hata kama unalala kama gogo maadm uko real na umenivutia inatosha nashughulika mimi kuliko viuno vya hilaWe we we tema mate chini, Mnyamwezi anakata viuno yule, acha
[emoji23][emoji23][emoji23]si nyie wanaume vipaumbele vyenuDuuh tunatofautiana sana
Mr. Tozo naye atazichezea sana[emoji23][emoji23][emoji23]zinatumika kwa machangu walioshindikana mjini
Hicho sio kipaumbele changu[emoji23][emoji23][emoji23]si nyie wanaume vipaumbele vyenu
Hahaa lazima apime urijali wake vizuri kwa kuhonga mababy mbalimbali endelea tu kuhonga tufurahi banaMr. Tozo naye atazichezea sana
Hela ya kalamu haiumi kama hela ya msukuma mikokoteni.Hahaa lazima apime urijali wake vizuri kwa kuhonga mababy mbalimbali endelea tu kuhonga tufurahi bana
I swear Shishi siwezi kutoka naye mileleWe we we tema mate chini, Mnyamwezi anakata viuno yule, acha
Ukweli mtupuHela ya kalamu haiumi kama hela ya msukuma mikokoteni.
Haina jasho uko kwa kiyoyozi unatuma tu muamala kiutarabu mbeba zege na msukuma mkokoteni ndo wanakula kwa jashoHela ya kalamu haiumi kama hela ya msukuma mikokoteni.
[emoji23][emoji23][emoji23] kipaumbele chako nini sasaHicho sio kipaumbele changu
Siku anahojiwa na ICU pale saba saba duu shavu limekaa tenge kabisa afadhali hata mieSi huwa wana jiedit kuna video ilisambaa yuko kawaida tu
Tulia nitakwambia[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] kipaumbele chako nini sasa