reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Akuuu!sinywi chochote Mimi umbea tu!!!yaani mi umbea,umbea na Mimi na maji pembeni!Hata wine jmn, sasa hiyo out yetu utakunywa juice tu?
Yaani naogoapa Mimi mengine next time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuuu!sinywi chochote Mimi umbea tu!!!yaani mi umbea,umbea na Mimi na maji pembeni!Hata wine jmn, sasa hiyo out yetu utakunywa juice tu?
Yasemekana watu hawana uhakika maana walikua wapenzi na babuu na mshikaji kaondoka na ngoma wanavodai sasa hatujui kama ni kweli au laah
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]nakushukuru mbea wangu wa sikuAkuuu!sinywi chochote Mimi umbea tu!!!yaani mi umbea,umbea na Mimi na maji pembeni!
Yaani naogoapa Mimi mengine next time
[emoji3][emoji3][emoji3]nshakua mdangaji tenaa kaaaahhh!!!!Mhhhh wadangaji mna top zenu za serikali[emoji16] tujuzeni basi.
Alikwenda shopping Dubai akaweka kiatu cha $3,000 Instagram anatoka shopping. Mtoto alikula maisha.Wema alibugi enzi za CK wa ikulu ,kile kipindi ndio alitakiwa atoke kimaisha , kwenye garage ya wema alikuwa na ndinga kama nne ,Q7,Harrier Pink,Mark X na Murano ,samani za ndani worth 50m ,endless fame company , receptionist anatumia mac ya milioni 4,amechezea maisha sana NYUMBU.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]karibu tenaLisemwalo lipo kama halipo laja.
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]nakushukuru mbea wangu wa siku
Tutakushushia tofali zito kichwani wewe sasa! (Private Massage) Chukua hizo herufi kubwa za mwanzo then,unganisha,soma hiyooooooooo!!!Mmh mbea gharama nimetoka kapa mkuu
Acha kabisaaa Wema amejua kutikikisa nchii!enzi hizooo!!Amekula maishaAlikwenda shopping Dubai akaweka kiatu cha $3,000 Instagram anatoka shopping. Mtoto alikula maisha.
Ungejua mwedazake alipokata waya kuna gengi walitaka kumuovateki vice ili jobo ateki ova ni protokoo broo.Top 3 always hua ni watumishi wa Serikali Kuu tu kaka!
1. Rais
2. Makamu
3. Waziri Mkuu
Sasa ukisema top three ni
1. Serikali
2. Mahakama
3. Bunge
Inakua tofauti sana! Maana kila siku huna tunadeal na serikali,hao kina Ndugai na Prof Juma sio sana!!
Nilishategua kitambo mkuuTutakushushia tofali zito kichwani wewe sasa! (Private Massage) Chukua hizo herufi kubwa za mwanzo then,unganisha,soma hiyooooooooo!!!
Hajala maisha bali maisha yamemlaAcha kabisaaa Wema amejua kutikikisa nchii!enzi hizooo!!Amekula maisha
Yes brother,najua,bila ujasiri wa Mabeyo! Sasa hivi Rais angekua yule Radio a.k.a Kazi! Huyu angetulisha sumu watanzania tufe wote,maana msela ana roho ngumu sijawahi onaUngejua mwedazake alipokata waya kuna gengi walitaka kumuovateki vice ili jobo ateki ova ni protokoo broo.
Poa! KaribuNilishategua kitambo mkuu
Mhh yobo kimbunga sijui wewe unamtaja nani utajijua mwenyewe.mi nimesema yobo kimbungaYes brother,najua,bila ujasiri wa Mabeyo! Sasa hivi Rais angekua yule Radio a.k.a Kazi! Huyu angetulisha sumu watanzania tufe wote,maana msela ana roho ngumu sijawahi ona
[emoji23][emoji23]kimbunga jobo huyoYes brother,najua,bila ujasiri wa Mabeyo! Sasa hivi Rais angekua yule Radio a.k.a Kazi! Huyu angetulisha sumu watanzania tufe wote,maana msela ana roho ngumu sijawahi ona
Aliumwa nusu kufa akakonda na kupata mapele na madonda mwili mzima nusura afe ndo akapona akaona azae mrithi[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]kumbe aliumwaga!!duh
[emoji23][emoji23][emoji23]Fala sana huyo, ataharibika kama wema sasa anaenda upande kama mbwa mzazi
Whozu ana roho ngumu akaingia kavu kavuAliumwa nusu kufa akakonda na kupata mapele na madonda mwili mzima nusura afe ndo akapona akaona azae mrithi
Yani na hizi surgery zao fake I think uwoya kaweka lips fillers sijui wanaita ka za kelly jenner. Naona hamisa naye kaongeza tako kwa mturuki naona limemharibu maana halitikisiki kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kushindana na maiko jaksoni kaahhh....!!!mbona wadada ndo habari ya mjini sasa hivi surgery kuna mmoja anataka kwenda akienda tu ntajua!
[emoji23][emoji23]kajilipua tu aiseeWhozu ana roho ngumu akaingia kavu kavu