Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha....Wema anamtia vibao meneja wa hotel hadharani...!!Wema mpk akaanza kuitwa madame!!!Weee hapana chezea CK kwa wema
Nyumba ya 270mils,kumbe kapangaa!!!hapana wema amekula nchi jamani[emoji3][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji16]hatasahau yaani wema Leo wa kukaaa mbagala kuu huko ndani ndani![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!
Wewe inabidi nikufahamu sio kwa kuyajua madanga sugu kiasi hiki[emoji1787]
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3]acha masihara baasi staki kuamini.....Inbox kwa jf kunaitwaje?!!!umbea gharama kweli.... utajua.... tuu!hahahaaaa
Mmh mbea gharama nimetoka kapa mkuu
Ahsante kaka yaani mpk hapo km hawajaelewa baasi yaani code rahisi mnoooo...
Mkuu hujui kufungua Code?? Sms za JF zinaitwaje kwa kiingereza?? Ndiyo cheo cha huyo Mwamba! Sasa leta zakuleta,utaishia segedansi
 
Top 3 kwa serikali ila kwa nchi siyo.
Nchi = Raisi>vice>Speaker> Cj>pm
Top 3 always hua ni watumishi wa Serikali Kuu tu kaka!

1. Rais
2. Makamu
3. Waziri Mkuu

Sasa ukisema top three ni
1. Serikali
2. Mahakama
3. Bunge

Inakua tofauti sana! Maana kila siku huna tunadeal na serikali,hao kina Ndugai na Prof Juma sio sana!!
 
Shuka chini hapooo!!!!tafsiri hao kwa kizungu jibu utapata[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Konzi lako nafikiri ntalifurahia sana[emoji16][emoji16]
Ahsante mangungu!
Top 3 always hua ni watumishi wa Serikali Kuu tu kaka!

1. Rais
2. Makamu
3. Waziri Mkuu

Sasa ukisema top three ni
1. Serikali
2. Mahakama
3. Bunge

Inakua tofauti sana! Maana kila siku huna tunadeal na serikali,hao kina Ndugai na Prof Juma sio sana!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom