Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Asante nimesoma na nimeelewa lakini uyo Clement alkuw waziri?,mbunge au?
CK.jpg
 
Wema baada ya kuanza kupotea akaenda kukata utumbo Matokeo yake daimond kamwacha nyota kufifia.
Uwoya lijua hizo lips zake ni wanja kumbe kaongeza duh. Uwoya asije fanya sura kuwa ka michael jackson akishindana na wakati
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kushindana na maiko jaksoni kaahhh....!!!mbona wadada ndo habari ya mjini sasa hivi surgery kuna mmoja anataka kwenda akienda tu ntajua!
 
Daah nimepata shida kuelewa uyu wa inbox hatimaye nimeelewa sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji52][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hongera na umbea shurti uumize kichwa maana na miye navoambiwaga wee yaani mtu ananong'ona mpk baas na hua anakua makiniii yaani huu umbea niliupata kwa taabu!!km ushamjua baasi we endelea kula ubuyu!!
 
Jamni uyu Ck ndo Nani mnatuacha njia pnda wenzenu[emoji25][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha.

Wema anamtia vibao meneja wa hotel hadharani! Wema mpk akaanza kuitwa madame!!!Weee hapana chezea CK kwa wema
Nyumba ya 270mils,kumbe kapangaa!!!hapana wema amekula nchi jamani[emoji3][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji16]

Hatasahau yaani wema Leo wa kukaaa mbagala kuu huko ndani ndani![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom