Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...

Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!

Mwambie Uwoya akapimp Chura/Wezere na bastola maana zipo flat aachane na sura ,kwa sura yupo vizuri.
 
Mghwira aliwahi kuongea point sana kuwa sisi wanaume hatumpendi mwanamke mzima bali vipande, tako, lips, uso, miguu, hips, macho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

So huenda Cariha nampendea tako tu na jicho[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahaaa kweli wanaume mna vipaumbele vyenu sisi wanawake hatuelewi kamwe. Unampendeaje mtu kalio na macho yake tu aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli ma slay queen walinyimwa akili na wengi huishia pabaya sana, sasa sijui umalaya huwatia ngudu au kitu gani.

Kushare majasho ya watu mbali mbali ni hatari wengine wana gundu/mikosi.

Kuna wanawake wengine ukiwa nao unapata kismart cha pesa tatizo linaanza kwa mwanamme pesa zikishachanganya anaanza kutafuta maslay queen huko nje na wanamtia gundu na minyororo ya fedha inakata.
 
Kushare majasho ya watu mbali mbali ni hatari wengine wana gundu/mikosi....Kuna wanawake wengine ukiwa nao unapata kismart cha pesa tatizo linaanza kwa mwanamme pesa zikishanganya anaanza ktafuta maslay queen huko nje na wanamtia gundu na minyororo ya fedha inakata.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom