Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Huyo dada ana mvuto sana lakini hajawahi kujihurumiaMm ule upaja na trako Tu aiseee ndo
Vnanimaliza [emoji1][emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo dada ana mvuto sana lakini hajawahi kujihurumiaMm ule upaja na trako Tu aiseee ndo
Vnanimaliza [emoji1][emoji134]
Wema ana majuto sana moyoni, na huyo anatumikaje bila kulipwa hawa mastar wetu ni shidaÀLIBUGI na anajutaa unaambiwa hana kiki mjini halafu yasemekana Neema ndepanya anamtumia tu Uwoya kwenye series zake hamlipi wala nini
Mghwira aliwahi kuongea point sana kuwa sisi wanaume hatumpendi mwanamke mzima bali vipande, kalio, lips, uso, miguu, hips, macho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaaa wanaume mnachunguza details
Kiki za kula wanawake walioshindikana mjini na maradhi haya lohYule dogo alikua anatafta kikii Tu
Na uwoya nae alikua anakula pesa
Za dogo Tu aisee
Huyo akiwa na kajala wako mjini kufrahia starehe wala hawatak stressHuyo dada ana mvuto sana lakini hajawahi kujihurumia
Imagine alikopita whoz sasa hv na ndoKiki za kula wanawake walioshindikana mjini na maradhi haya loh
Watu wanarithisha watoto pesa, magari, elimu, viwanja na nyumba, Kajala kamrithisha mtoto wanaume wa mjini, hatari sanaHuyo akiwa na kajala wako
Mjini kufrahia starehe wala hawatak
Stress
Kajala yy kashaanza Kula matunda ya
Mschana wake migo zote kamuonesha
Wema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...
Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!
Dhaaaaaaa yani alafu Hana habari kabsa, Hata hashauriki yaniWatu wanarithisha watoto pesa, magari, elimu, viwanja na nyumba, Kajala kamrithisha mtoto mboo za mjini, hatari sana
Tunda na Uwoya utafikiri ni mapacha jinsi walivyodanga majitu konki ya mujiniImagine alikopita whoz sasa hv na ndo
Kafka hata haskii chochote Kwa tunda
Tunda Ile kudanga amedanga dhaa
[emoji119][emoji119][emoji119]
Muda utaongea, naye anapenda sana kiki na pesa asijeuza wanaweDhaaaaaaa yani alaf Hana habar kabsa
Hata hashauriki yani
Binaf nampongza shilole kwa
Malez mazur Kwa wanae
Ngoja tumpe timeMuda utaongea, naye anapenda sana kiki na pesa asijeuza wanawe
Hahaaa kweli wanaume mna vipaumbele vyenu sisi wanawake hatuelewi kamwe. Unampendeaje mtu kalio na macho yake tu aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Mghwira aliwahi kuongea point sana kuwa sisi wanaume hatumpendi mwanamke mzima bali vipande, tako, lips, uso, miguu, hips, macho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So huenda Cariha nampendea tako tu na jicho[emoji38][emoji38][emoji38]
Sonia hadi hapo Monalisa hatakuwa na lawama kajitahidi mnoNgoja tumpe time
Kuna monalisa nae anakuja ado ado na Sonia wake
Balaaa tupu aiseee wale n zaid ya konkTunda na Uwoya utafikiri ni mapacha jinsi walivyodanga majitu konki ya mujini
Nyie nnavopenda wallet KwanzaHahaaa kweli wanaume mna vipaumbele vyenu sisi wanawake hatuelewi kamwe. Unampendeaje mtu tako na macho yake tu aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli ma slay queen walinyimwa akili na wengi huishia pabaya sana, sasa sijui umalaya huwatia ngudu au kitu gani.
Kabsa naona anamtaftia na madilSonia hadi hapo Monalisa hatakuwa na lawama kajitahidi mno
Huo ni ukweli, ukiwa na aifa moja wapo hapo halafu ukawa na tabia njema unaoelewa fastaHahaaa kweli wanaume mna vipaumbele vyenu sisi wanawake hatuelewi kamwe. Unampendeaje mtu tako na macho yake tu aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kushare majasho ya watu mbali mbali ni hatari wengine wana gundu/mikosi....Kuna wanawake wengine ukiwa nao unapata kismart cha pesa tatizo linaanza kwa mwanamme pesa zikishanganya anaanza ktafuta maslay queen huko nje na wanamtia gundu na minyororo ya fedha inakata.