Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wema mjinga wanaume wa bongo wanapenda bonge wenye misabwanda ya haja sasa yeye kajiloga mwenyewe, Bado uwoya naye ataishia huko huko Yani umaarufu wote tangu early 2005 kuja huku hata banda la kuku hawana wao show off. Huyo wema nyumba yenyewe ya mamake ni zile za zamani alishindwa hata ku I modify. Juzi niliona aristote akimcheka kuwa hana hata hela ya kusuka
Àlibugi na anajutaa unaambiwa hana kiki mjini halafu yasemekana Neema ndepanya anamtumia tu kwenye series zake hamlipi wala nini
 
Shilole ana akili na alitokea kwa shida so anajua maisha ni nini hata akidanga shilole ana nyumba kadhaa pia analea wale mabinti zake vizuri tu, Hamisa na yeye baada ya kuchekwa na watu na kuzalilishana na kina mama dangote na kina zarina akapata akili mpaka sasa ana mjengo wake mzuri tu mjini, na hata joketi hawawezi kufa njaa shida ni kubwa jinga uwoya ana danga na kufanya show off ka za teenager ha think about future aisee. Vera sidika kadanga vya kutosha na kuwekeza hana stress kajioopolea ki Ben ten chake anakula life

Dada mbona povi jingi? kuna personal issues au?
 
Wema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...

Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!
Wema baada ya kuanza kupotea akaenda kukata utumbo Matokeo yake daimond kamwacha nyota kufifia.

Uwoya lijua hizo lips zake ni wanja kumbe kaongeza duh. Uwoya asije fanya sura kuwa ka michael jackson akishindana na wakati
 
97% ya wadangaji hawana akili na hata wakiwa na mali, wakishaanza kuchuja wataziuza ili waendelee kumantain status,wakisha choka wanabakia na story ,utawasikia "........nimetembea sana ulaya........hizi hotel kubwa kubwa nimemaliza........",mfukoni hawana kitu, wanarudi home wakiwapa tabu wazazi wao.

Kuna mdada mmoja Mnyaki, sasa hivi anakunywa gongo ila wanao mjua wanakwambia enzi zake alikuwa kisu tokea yupo Makongo na kumbuka kuna siku sasa tulikua kijiweni kuna brother mmoja enzi zake naye alikuwa mtu wa bata walikuwa wanakutana sana batani, wakakutana na mimi nikiwepo, yaani yule mdada kabakiwa na story kachoka ila still tako bado lipo,basi anajitamba ".....ametembea sana wasanii Daz Nunda.......hotel zote hizi kubwa za nyota tano kalala.....nimetembea na mageneral wa jeshi..........."

Yaani sasa hivi ukimwona kachoka, ila sijajua imekuaje kuaje kachoka mpaka kaanza kunywa gongo, hata yule brother mwenyewe hajui imekuwaje kuwaje anakunywa gongo.
Ni kweli ma slay queen walinyimwa akili na wengi huishia pabaya sana, sasa sijui umalaya huwatia ngudu au kitu gani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom