Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Ofisi yake butu?Huyo nae kashika vitu vyake uchwara hapo mbele..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi yake butu?Huyo nae kashika vitu vyake uchwara hapo mbele..
Na Hilo haswa ndo lengo la veraHii ndo imeshamir mjin na hata huku mtaan
Yani sio poah na kweli Vera akizaa anaachana
Na jamaa maana sion shuhuli yoyote inayompatia kipato huyo kijana
Vera akizaa atarud kudanga apate
Pesa za kumsomesha mwanae badae
Hii n kama Tu Kwa kina tunda na whoz
Kwa uwoya si huku mbezi mbona kwao kwa kawaida tu sio pakutisha kivile compare na show off za igHapana sio wa tozo anatoka na top 3 wale ndo sponsa wake!anahonga balaa!!!!Uwoya anajidai kwa kua kwao yuko njema ila ataishia kubaya
Huyo si ana shift mabwana kulingangana na dau. Yeye yoyote tu twende. Huyo wa in-box za jf bas yuko vizuri ana wanawake wengi kweri kweri in Magus voiceKule na yule mwenye jina kama inbox za jf....!!!
Dawa ya wadangaji wasio na mikakatiMdogo wa rafiki yangu Nigeria alikua anatoka kimapenzi na senator wa nchi yao. Danga alikua kwenye ule mkoa wa mafuta.
Bibi yule alipelekwa Ufaransa shopping, Marekani kuona mji na kutoa ushamba. Dubai ilikua ni weekend trips tena na mashost. Handbags, viatu na perfume alinunua YSL, Gucci, na Channel.
Alishazoea kulala five star hotels. Mzee alikua ana credit account yake kila mwezi. Kwakua yuko busy na familia yake walionans kwa nadra sana.
Siku danga liliposema it’s over between us dada alipata mental break down.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwoya atakuja kuishia ka wema, ila anatumia hela vibaya, hivi ni kweli anatoka na Waziri wa tozo.
Acha tu sasa waolewe hawataki kula kwa jasho kabisa, waolewe tu hamna namnaWatoto wa kiume wa sasa hivi wanatia haya sana na hawana aibu hata kidogo yaani wanadanga kushinda wanawake
Tozo zetu zinaliwa Dubai haki ya MunguDuuuh Mh Waziri wa tozo
Wema amedoda sijui nani atamtaka tenaYule binti mwenye migahawa mnamwitaga sijui shishi sijui nani na mobeto pamoja na na kina joket hawa Wana Akili kuzidi hawa wajinga wasiojielewa kabisa Kama wakina wema na Uwoya.
Wema mjinga wanaume wa bongo wanapenda bonge wenye misabwanda ya haja sasa yeye kajiloga mwenyewe,Wewe labda kannua juzi baada ya kuchambwa na mashosti zake,maana walikua wanamcheka yeye na wema kua hawana lolote Wema kwa sasa kaishiwaa kaenda kukaaa mbagala kuuu huko hana lolote na anajutaaa kukata utumbo yaani anajutaa mnoo maana hana soko tena wanaume walikua wanataka manyama nyama,Wakaja kwa Uwoya wakasema muache amwage hela hata kiwanja hana wanaringia nyumba za wazazi wao tu mjini!Yaweza kua amenunua baada ya kuona watu wanamshambulia sana
Ruangwa ndio hata wa buhigwe pia japo kwa siriKutoka Buhigwe au Ruangwa?
DuhRuangwa ndio hata wa buhigwe pia japo kwa siri
Ruangwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!umegusaa mulemule!!!Kutoka Buhigwe au Ruangwa?
Wanawake wa Kisomali walianza kudanga Ulaya miaka ya 70 baada ya kuiga Wahindi walioanza miaka ya 60. Walifanya makubwa kwao na waliuza mpaka meno ya tembo na madini.97% ya wadangaji hawana akili na hata wakiwa na mali, wakishaanza kuchuja wataziuza ili waendelee kumantain status,wakisha choka wanabakia na story ,utawasikia "........nimetembea sana ulaya........hizi hotel kubwa kubwa nimemaliza........",mfukoni hawana kitu, wanarudi home wakiwapa tabu wazazi wao.
Kuna mdada mmoja Mnyaki, sasa hivi anakunywa gongo ila wanao mjua wanakwambia enzi zake alikuwa kisu tokea yupo Makongo na kumbuka kuna siku sasa tulikua kijiweni kuna brother mmoja enzi zake naye alikuwa mtu wa bata walikuwawanakutana sana batani, wakakutana na mimi nikiwepo, yaani yule mdada kabakiwa na story kachoka ila still tako bado lipo,basi anajitamba ".....ametembea sana wasanii Daz Nunda.......hotel zote hizi kubwa za nyota tano kalala.....katembea na mageneral wa jeshi..........."
Yaani sasa hivi ukimwona kachoka, ila sijajua imekuaje kuaje kachoka mpaka kaanza kunywa gongo, hata yule brother mwenyewe hajui imekuwaje kuwaje anakunywa gongo.
Maslay queen wengi akili za maisha hawana hawafikiri kesho, wanazani kila siku wata endelea kuwa wazuri.Wanawake wa Kisomali walianza kudanga Ulaya miaka ya 70 baada ya kuiga Wahindi walioanza miaka ya 60. Walifanya makubwa kwao na waliuza mpaka meno ya tembo na madini. Hii akili matope ni wa bantu tu.
Nilisoma historia, nyumba ndogo hata wa Wazungu ni kawaida hasa wale matajiri, wengi wanatafutiwa wake wa kuoa kutoka noble families lakini mapenzi hakuna.Maslay queen wengi akili za maisha hawana hawafikiri kesho, wanazani kila siku watakuwa wazuri.
Ni nan niambie uwiiSponsa wa Uwoya ni mtu mzitoooooo!naogopa kumtaja acha ale bata kiukweli mda wake huu!!mji una mambo huuu!!!