Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji3][emoji3]kwann huwa hawafanyi vitu vya maana?

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Yaani Dubai ushaenda unaenda kufanya nn tena kwa muda mrefu hivyo? Duh kweli nimeamini hizi hela za uasherati na uzinzi hazina maendeleo

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Soon atapoteza relevance yake huyu. Albinism imekuwa excuse kuna na mwingine naye alikuwa mkorofi na ana mahasira huyo na mkorofi kisa hali yake huea najiuliza huko vichwani huwa kuna wadudu huwapanda na kuwaumiza wengine makusudi?
Defensive mechanism hyo ndo wanatumia ila siku zake si nyingi zinahesabika!Mara nyingi walemavu ndo walivyo!haji akikutongoza ukikataa anamind kisa anajua umemkataa kwa kua ni albinism kumbe wala sio kwa sababu hyo ila ndo mtu wa kujishtukia
 
Defensive mechanism hyo ndo wanatumia ila siku zake si nyingi zinahesabika!Mara nyingi walemavu ndo walivyo!haji akikutongoza ukikataa anamind kisa anajua umemkataa kwa kua ni albinism kumbe wala sio kwa sababu hyo ila ndo mtu wa kujishtukia
Zihesabike tu sitaki hata kusoma utopolo mwanaume mzima anaji behave ka si mwanaume mwenye koromeo yeye ni full kujiona ni mkubwa kuliko team, na daily ilikuwa kuwatukana wana habari wenzake,

pia si atangaze bidhaa za baharesa bila kumponda Mo, kashanitoka huyu mpuuzi kila ofisi huwa ina changamoto ila sio ujinga wake huu
 
Anaboa haji kiukweli na kachemka sema watu wanampa bichwa ngoja ligi ianzs ndo atajua kua hajui!!nimemuona falaaa tu Mimi!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…