Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
Ngoja azae Onyango😂
 
walai 🤣🤣🤣 lazma angepagawa
 
Anaboa haji kiukweli na kachemka sema watu wanampa bichwa ngoja ligi ianzs ndo atajua kua hajui!!nimemuona falaaa tu Mimi!
Huyo atasahaulika tu ndo atajua hajui, sehemu ulipowahi kupitia sio pa kunyea kambi akiba ya maneno muhimu, mbona hata sie hatufanyi kwa wahindi ina kutofautiana huwa kupo na kukwazana ila tuna samehe tu, maana we are not perfect
 
Anakwambia " kuk with Wema sepetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…