AlphaPii
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 1,168
- 1,852
Ngoja azae Onyango😂Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja azae Onyango😂Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] we mtoto mtu mbadi sana aseeMimi je?nimekumisooo balaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]yaani wewe unanijua halafu unanijua tena!uchune hvyo hvyoo!ile nimesahau paswedi shoo!
Asee jana shemeji yako kanichimbia chimbo fulani tukawa tunagida ulabuu...kichwa kikapata moto jf nikaishut downJana usiku ulifichwa wapi hadi niliulizia humu mpenda umbea mwenzetu witnessj
Yu wapi tukimbize uzi, nikahibiwa utakuwa unapiga maji[emoji16][emoji16][emoji16]
Aaaah dildo la nini wakati wanaume kibao nje[emoji16]Mama W future King ndiyo ilikua position yake asingenunua hata dildo akatunza heshima nje.
Hiyo cycle wote wabovuu....ni Neema za Mungu tu bado wanadundaaIla mpaka kaenda kwa Irene inaonekana na yeye tayari maana Irene anajulikana kitambo kwamba taa imewaka.
We noma kama ulikuwepo vile...full kugida maji ya mende mpaka yanikomeWit Leo wikiendi anakula bia!!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
Huwa nakuaminia ukiukalia uzi unapaa hatati[emoji16]Daaah asee nimepitwa hapa mda huu ndo naendelea nao mdogo mdogo
walai 🤣🤣🤣 lazma angepagawaMdogo wa rafiki yangu Nigeria alikua anatoka kimapenzi na senator wa nchi yao.
Danga alikua kwenye ule mkoa wa mafuta.
Bibi yule alipelekwa Ufaransa shopping, Marekani kuona mji na kutoa ushamba. Dubai ilikua ni weekend trips tena na mashost. Handbags, viatu na perfume alinunua YSL, Gucci, na Channel.
Alishazoea kulala five star hotels. Mzee alikua ana credit account yake kila mwezi. Kwakua yuko busy na familia yake walionans kwa nadra sana.
Siku danga liliposema it’s over between us dada alipata mental break down.
Kweli mkuu?[emoji16][emoji16]Huwa nakuaminia ukiukalia uzi unapaa hatati[emoji16]
Yes mremboKweli mkuu?[emoji16][emoji16]
Thank uYes mrembo
Leo humu zitapigwa spana wacha nikae kitako😅😅😅Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
Nani huyo my dear hebu ning'ate sikio
Unaniangusha asee[emoji1787][emoji16]Mmh mbea gharama nimetoka kapa mkuu
Huyo atasahaulika tu ndo atajua hajui, sehemu ulipowahi kupitia sio pa kunyea kambi akiba ya maneno muhimu, mbona hata sie hatufanyi kwa wahindi ina kutofautiana huwa kupo na kukwazana ila tuna samehe tu, maana we are not perfectAnaboa haji kiukweli na kachemka sema watu wanampa bichwa ngoja ligi ianzs ndo atajua kua hajui!!nimemuona falaaa tu Mimi!
Hilo nilishategua mkuuUnaniangusha asee[emoji1787][emoji16]
Hujui ukifata inbox jf inaitwaje? Kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Anakwambia " kuk with Wema sepetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha....Wema anamtia vibao meneja wa hotel hadharani...!!Wema mpk akaanza kuitwa madame!!!Weee hapana chezea CK kwa wema
Nyumba ya 270mils,kumbe kapangaa!!!hapana wema amekula nchi jamani[emoji3][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji16]hatasahau yaani wema Leo wa kukaaa mbagala kuu huko ndani ndani![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!
Ana kuk na akina babalevo[emoji16]Anakwambia " kuk with Wema sepetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
[emoji23][emoji23]vera hana sura nzuri kivile licha ya kujitutumia had kujichubua lakini wapi, sasa katafta kibeten ili kimpatie cute baby na mimi namuombea awe cute tu maana anahangaika sanaNgoja azae Onyango[emoji23]