Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Si kama Beyonce kwa jigaa...daah wale watoto midomo, miguu na pua yote ya Jay

Hakuna mtoto ambae kidogo kaja kwa bey
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]ndo maana mkusanya rambirambi Jana kampa makavu live anajua hana cha kumfanya hata akiropoka...Yaani kahuni kale balaa
Mzee wa Rambi rambi kaamua kumtolea uvivu kumbeπŸ˜…
 
Bumbuli?[emoji849]
 
Kakata utumbo halafu hakumaliza dozi maana alipelekwa bure alivorudi wahisani akawafungia viooo vya mbao hvyo hakupewa namna procedures za kuishi na ile hali!hapo ndo alifeli mpk kua vile kama mbwa mkondefu
Anatia kinyaa sana yani wawekezaji wametoka duki bayaaa πŸƒπŸ»β€β™‚οΈπŸƒπŸ»β€β™‚οΈπŸƒπŸ»β€β™‚οΈπŸƒπŸ»β€β™‚οΈ
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…