Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wadada wa mjini hovyoo sanaa Yaani hawajui mtoto anachukua sura mbili

Kuna Miss world anaitwa aishwarya rai(unaambiwaa according to miss world committee ndo miss mwenyee vigezo vyote kuwahi kutokea duniani)anatoka India,sasa kaolewa na abhishek bachan nae handsome balaaaa..[emoji52][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wana katoto kao kanaitwa aaradhya ka kawaida mnooo!!Yaani Hata lips za mama ake hajabeba!

Waache wakariri tuuu!watakuja kutafuta mchawi wamkose Mungu fundiii!
Si kama Beyonce kwa jigaa...daah wale watoto midomo, miguu na pua yote ya Jay

Hakuna mtoto ambae kidogo kaja kwa bey
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]ndo maana mkusanya rambirambi Jana kampa makavu live anajua hana cha kumfanya hata akiropoka...Yaani kahuni kale balaa
Mzee wa Rambi rambi kaamua kumtolea uvivu kumbe😅
 
HahhahahaYule jamaa anatumia mjini IG anatumia Id a triple 7 wamjua...?!!ndo danga la tessy kwa sasa...[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]naenda oga miye mida ya kulala........!!!!!!!
Bumbuli?[emoji849]
 
Kakata utumbo halafu hakumaliza dozi maana alipelekwa bure alivorudi wahisani akawafungia viooo vya mbao hvyo hakupewa namna procedures za kuishi na ile hali!hapo ndo alifeli mpk kua vile kama mbwa mkondefu
Anatia kinyaa sana yani wawekezaji wametoka duki bayaaa 🏃🏻‍♂️🏃🏻‍♂️🏃🏻‍♂️🏃🏻‍♂️
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom