Hapo nimekuelewa vizuri and clear Asante kwa udadavuziMpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!
Kwenye hiyo code mtaachwa wengi maana kumjua huyo inahitaji intelligence ya kufa mtu[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Wewe mbea wa faida lkn hapa umeniacha, nakujia ee
Si utoboe na wewe?[emoji16]Kwenye hiyo code mtaachwa wengi maana kumjua huyo inahitaji intelligence yankufa mtu[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Hii nimeifungua sio ngumu[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwaniii!!Si ndo wanaelekea huko sasa!!!mama na mwana wameenda Nairobi kudangaa!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hujaona P na KWewe mbea wa faida lkn hapa umeniacha, nakujia ee
Wataanza kupishana mapokez ukiingia natoka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mwisho wakutane kila mmoja na danga la mwenzake
Alikuwa kajipa hati fungani kwa Almasi kuwa atasafiria nyota π kumbe bi.mkubwa nae anamlia RadarTena baada ya kuchambwa na Mange ndo akaanza kupata akili maana bi Sandra alipiga stooop asilipiwe pango kule bahari beach!ndo kuhama bibie plus vichambo kakaumbuka kujenga na kufanya maisha yake.. Mwanzo yeye alikua anashona ila badala atangaze kwake anamtangazie Elisha,na kyamirwa akachambwaa kua akuze brand yake ndo akaanza kushona kwake!Leo wambea na wadaku wamemsaidia mbona!
Uchebe alimpenda shishi Ila kifua chaYes hii malikia wa nguvu huwa nikudaganyana tu huyo shishi kafungua had mgawaha idodomiya huko ndio maana uchebe alimdunda
Mwenda zake alikuwa na maswahiba wengi mkuuSwahiba wake Mwendazake humjui π mr.Katelefone
Hahaaa price breaker naye akaamini mobeto atamzalia kweli ili amharibie biashara ya kudanga, Matokeo yake akaachiwa manyoyaHahahahah hii inaitwa play ya cardz right[emoji28] demu ni Mogul! Mi ni mkali ila hii ni Salute!!!
Inaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake π π π mapema sana!Hahaaa price breaker naye akaamini mobeto atamzalia kweli ili amharibie biashara ya kudanga, Matokeo yake akaachiwa manyoya
Nimeamini hili ..ila huu mji wa dar mchafu sana, sana, ndoa kutoboa ni ngumu[emoji848]Nyie si mnaonaga K ni mtaji?
Kama una mume anakujali itulize papuch wanaume tuna visasi utajifia bure
Mobeto kwa sasa ni [emoji91][emoji91]fire alijifunza baada ya kuchekwa na kuzalilishwa mno na kina diamond na mama dangote na yeye hamisa ka move on kina mama dangote wamenuna, hafu naskia mobeto naye kakamilisha mjengo wake wa hatari hapa mjiniWema hana maisha kwa sasa!!Petit anatamani kweli kumsaidia Wema ila ndo hvyo hawaongeiMissa wa motoooooo!na kile kishepu ndo balaa!haters wote wamesarenda wanatafutana kwa sasa...Missa ndo habari ya mjini!!wanakuambia kwa maslay kwini Hamisa kwa sasa wamemshindwaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]sio level zao!!!
Ya kwako itatoboaNimeamini hili ..ila huu mji wa dar mchafu sana, sana, ndoa kutoboa ni ngumu[emoji848]
Shoooga sio kila handsome free p au mariooo!!jamaa zipo vzr..Ajaaaajaaaaahaaajaaa[emoji848][emoji848][emoji16]
Asee
Yule jamaa ni handsome la kutupwa kumbe pia mpunga upo?
Asee huyo dada namuonaga kichwa kumbe malaya malaya[emoji848][emoji848]
Sasa katupwa na kichanga chake masikini[emoji22]
Asee mwanaume sio wa kushindana nae
Hajifunze ila yeye hana akili kavamia jiji kwa pupaPaula c ndo anaamka jaman hata
Usingz hajamaliza
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsaNdio maana hayati mkurugenzi mtendaji pale mawingu alikuwa anawapelekea moto tu na kuwasainisha THT
Katelefone inatosha tu kuelewa kuwa anazungumziwa P.M! Inaonesha somo la uraia lilikuwa gumu sana kwako π π πMwenda zake alikuwa na maswahiba wengi mkuu
Ili neno la Zamaaaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umewaza nini!Wema amekuwa kama fido dido[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23]eti vifungashio vya msdNi swala la muda tu maana vifungashio vya Msd kutumia mwisho ni siku 3 tu...kifuatacho ni acapella mpaka alfa na omega
Mama nenga yeye hakusajiliwa tanesco?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani
Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto