Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Mpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!
Hapo nimekuelewa vizuri and clear Asante kwa udadavuzi
 
Kanuni za umbea Kwanzaa unapaswa kuwajua watu maarufu wengi sanaa!
Yaani@wit kaifungua fastaaa mpk nimeinjoi wewe unataka nimtaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]pambana Leo!
Wewe mbea wa faida lkn hapa umeniacha, nakujia ee
Kwaniii!!Si ndo wanaelekea huko sasa!!!mama na mwana wameenda Nairobi kudangaa!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hujaona P na K
Wataanza kupishana mapokez ukiingia natoka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Mwisho wakutane kila mmoja na danga la mwenzake
 
Alikuwa kajipa hati fungani kwa Almasi kuwa atasafiria nyota πŸ˜… kumbe bi.mkubwa nae anamlia Radar
 
Hahaaa price breaker naye akaamini mobeto atamzalia kweli ili amharibie biashara ya kudanga, Matokeo yake akaachiwa manyoya
Inaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mapema sana!
Mobeto Style amempiga Tae Kwondo moja matata pricebreaker ikamtachi!
 
Mobeto kwa sasa ni [emoji91][emoji91]fire alijifunza baada ya kuchekwa na kuzalilishwa mno na kina diamond na mama dangote na yeye hamisa ka move on kina mama dangote wamenuna, hafu naskia mobeto naye kakamilisha mjengo wake wa hatari hapa mjini
 
Shoooga sio kila handsome free p au mariooo!!jamaa zipo vzr..
Bimkubwa yule hakutaka kutandika daruga la kudanga chini kama wenziwe baada ya kupata wa kumstiri...sasa [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]!!!akawa anapiga ndodo km kawa....!mshikaji akaskia tena kafumaniwa na mcheza mpiraaa [emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]wa timu ya.....Siitaji ng'ooooo. ...ila hizi 3 kubwaa!tena ndani kwa mshikaji!Hapo kuna msamaha tena?

Mmama hajielewi yule balaaaa!kaachwa na katoto!
Ndo bwamkaka yuko na Tessy!kwa sasa
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani

Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto
Mama nenga yeye hakusajiliwa tanesco?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…