Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Mpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!
Hapo nimekuelewa vizuri and clear Asante kwa udadavuzi
 
Kanuni za umbea Kwanzaa unapaswa kuwajua watu maarufu wengi sanaa!
Yaani@wit kaifungua fastaaa mpk nimeinjoi wewe unataka nimtaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]pambana Leo!
Wewe mbea wa faida lkn hapa umeniacha, nakujia ee
Kwaniii!!Si ndo wanaelekea huko sasa!!!mama na mwana wameenda Nairobi kudangaa!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hujaona P na K
Wataanza kupishana mapokez ukiingia natoka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Mwisho wakutane kila mmoja na danga la mwenzake
 
Tena baada ya kuchambwa na Mange ndo akaanza kupata akili maana bi Sandra alipiga stooop asilipiwe pango kule bahari beach!ndo kuhama bibie plus vichambo kakaumbuka kujenga na kufanya maisha yake.. Mwanzo yeye alikua anashona ila badala atangaze kwake anamtangazie Elisha,na kyamirwa akachambwaa kua akuze brand yake ndo akaanza kushona kwake!Leo wambea na wadaku wamemsaidia mbona!
Alikuwa kajipa hati fungani kwa Almasi kuwa atasafiria nyota 😅 kumbe bi.mkubwa nae anamlia Radar
 
Wema hana maisha kwa sasa!!Petit anatamani kweli kumsaidia Wema ila ndo hvyo hawaongeiMissa wa motoooooo!na kile kishepu ndo balaa!haters wote wamesarenda wanatafutana kwa sasa...Missa ndo habari ya mjini!!wanakuambia kwa maslay kwini Hamisa kwa sasa wamemshindwaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]sio level zao!!!
Mobeto kwa sasa ni [emoji91][emoji91]fire alijifunza baada ya kuchekwa na kuzalilishwa mno na kina diamond na mama dangote na yeye hamisa ka move on kina mama dangote wamenuna, hafu naskia mobeto naye kakamilisha mjengo wake wa hatari hapa mjini
 
Ajaaaajaaaaahaaajaaa[emoji848][emoji848][emoji16]

Asee

Yule jamaa ni handsome la kutupwa kumbe pia mpunga upo?

Asee huyo dada namuonaga kichwa kumbe malaya malaya[emoji848][emoji848]

Sasa katupwa na kichanga chake masikini[emoji22]

Asee mwanaume sio wa kushindana nae
Shoooga sio kila handsome free p au mariooo!!jamaa zipo vzr..
Bimkubwa yule hakutaka kutandika daruga la kudanga chini kama wenziwe baada ya kupata wa kumstiri...sasa [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]!!!akawa anapiga ndodo km kawa....!mshikaji akaskia tena kafumaniwa na mcheza mpiraaa [emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]wa timu ya.....Siitaji ng'ooooo. ...ila hizi 3 kubwaa!tena ndani kwa mshikaji!Hapo kuna msamaha tena?

Mmama hajielewi yule balaaaa!kaachwa na katoto!
Ndo bwamkaka yuko na Tessy!kwa sasa
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani

Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto
Mama nenga yeye hakusajiliwa tanesco?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom