Wee...kijichi ushuani asikuambie mtu...kuko poa haswaaGoba milima milima siyo flat labda useme changombe hv au tabata. Vipi kuna nyumba kali? Mana kuna boya kanichukulia manzi yangu huko nikajua uswazi.
Hizo mbinu wanipatatie kwakweli kuna binti ananisumbua sumbua na msg nikamchimbie kondoo. Si inabidi awe amekupenda sana[emoji16]?Yes ujue kipindi wema alivoachana naye akawaga vizuri tu aliporud kwa dai akaharibikiwa mazima, mamake alisema dai alimchimbia wema kondoo mzima. Uchawi upo
Ndio hivyo shoo alifanya hvyoAlifanya IVF nafikiri nilowahi skia hyooo!
Hata sijui best alifanya nini!Maskini best yangu alifanyaje afungue account nyingine Yule huwa ni mdau mzuri sana wa ubuyu
Kabisaaa yaani!maana wanga wengi tayaruNdio tuzidishe code's Uzi usije fungwa
Kwani wewe humpendi[emoji12]Hizo mbinu wanipatatie kwakweli kuna binti ananisumbua sumbua na msg nikamchimbie kondoo. Si inabidi awe amekupenda sana[emoji16]?
Mnooo!halafu ujue alitemwa kisa kuliwa na mzee wa ndombolo....!!!Alikuwa anauza mechi kumbe
Ni hulka ya watanzania kupenda umbea na kuchimba maisha ya watu wengine mambo ya msingi Kama katiba hawa wambea wote hutawaona.Uzi watembea huu balaa [emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]yaani huu Uzi una viewers 30kJamani punguzeni kasi. Wengine tunasoma kila comment hatuachi kitu.
Unaweza kushangaa unasoma uzi kwa zaidi ya masaa mawili na bado usiumalize wote.
Ajali kazini!kufa kulala kaburi tutaaHahahahah unakumbatia timed bomu huku umefumba macho[emoji28]
Ile ni IVF mkuu ..mbegu zinakamuliwa then zinakuwa injected kwa fullopianWale mapacha alipigaje maana kwa uzee ule lazima kapiga mechi nyingi hadi kupata pacha.
Elimu imembeba DC ila jiwe nae unaijua ile hotel ya pale mwenge ITV?yule boss lady katotoa nae kale ka last born kake,[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]mdomo komaaaa Mimi!!!!Yule DC ashukuru Mungu ana akili ya shule na jiwe kumteua bila hivo na yeye ingekuwa hivo hivo ka kina wema
Mnooo ugumu wa maisha kipimo cha akilii!!!!Masimango ni booster nzuri sana kwa mtu mwenye akili, inakupa presha ya kwenda mbele kimafanikio, Ma dangote alijua anamkomoa kumbe anampa presha kupata vyake.
[emoji80][emoji52][emoji6][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]watu MNA nongwaa kaaahSura ya mjomba ila sauti ya malaika
Yule bosslady ni mbunge pia[emoji1362] kwakeli mdomo komaaa[emoji87]Elimu imembeba DC ila jiwe nae unaijua ile hotel ya pale mwenge ITV?yule boss lady katotoa nae kale ka last born kake,[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]mdomo komaaaa Mimi!!!!
Weeeeee!!!!kutokea nyanda za kusini downtown balaaaa!hatare hatareee!!!!Yule mwamba nae vipi anatumia miti miti kwenye biashara zake?
Aaah sio vizurii hvyo mpe mahaba yote [emoji3]Najipenda mimi zaidi[emoji23] nitoboe mie
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]wweeeeeeeYes ujue kipindi wema alivoachana naye akawaga vizuri tu aliporud kwa dai akaharibikiwa mazima, mamake alisema dai alimchimbia wema kondoo mzima. Uchawi upo