Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Mknger lazima atumie kingaWeeeeee!!!!kutokea nyanda za kusini downtown balaaaa!hatare hatareee!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mknger lazima atumie kingaWeeeeee!!!!kutokea nyanda za kusini downtown balaaaa!hatare hatareee!!!!
Anatamani kua demu maana anaona wanafaidi sanaaa!ujue[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna wakati anakuaga ujinga
Cjui homon hua znabadilika ama nn
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hakuna yule mdananda aka kuwadi aka chawa pro wa vigogoo!!!Hivi yule hang'atwi backbenjer kweli...ana mambo ya kimama mama sana
[emoji52][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mtajua wenyewe mambo ya katiba ninyi jengeni nchi...sisi tutapaka rangi@Cariha@Golden C@Extrovet na wambea wengineo au siyo ndugu zanguu....!!!??!!!!!!Ni hulka ya watanzania kupenda umbea na kuchimba maisha ya watu wengine mambo ya msingi Kama katiba hawa wambea wote hutawaona.
Umbea suna jmn... maisha hayatakiwi uwe serious sanaaaa hata kurefresh nooo ebo![emoji52][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mtajua wenyewe mambo ya katiba ninyi jengeni nchi...sisi tutapaka rangi@Cariha@Golden C@Extrovet na wambea wengineo au siyo ndugu zanguu....!!!??!!!!!!
Very true haa haahaaAnapuliza kama kawa, alafu ile siyo biashara kuu, fatilia wauza nguo wote kuanzia robyone, hussein pamba kali na wengine zile biashara wanatakatishia mpunga wa nyeupe. We kuna biashara ya kuipa simba b2 mle ndani jiulize. Ogopa sana mtu anayependa kuelezea background yake aliyopitia kibiashara mara nyingi analazimisha kufuta mawazo ya "kapata wapi mtaji" kwa jamii.
Kumbeer ni mheshimiwaa...?!!!weeeee!balaa na nusu....nilikua sijui miyee najua tu kua alikua ndo chombo na baby mama wa ka last born!!!tutulie vivyo hvyo!anaetaka afunguliwa code atumie na yakutolea!Yule bosslady ni mbunge pia[emoji1362] kwakeli mdomo komaaa[emoji87]
Ck akaishia kuuza chipsi pale kinondoni[emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha....Wema anamtia vibao meneja wa hotel hadharani...!!Wema mpk akaanza kuitwa madame!!!Weee hapana chezea CK kwa wema
Nyumba ya 270mils,kumbe kapangaa!!!hapana wema amekula nchi jamani[emoji3][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji16]hatasahau yaani wema Leo wa kukaaa mbagala kuu huko ndani ndani![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Traco lako wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku nikushike utaniita majina yote, huna maana wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Tungekuwa tunachambua vifungu vya katiba hii na rasimu ya Warioba kwa weledi kama uliotumika kwenye huu uzi, Kesho Samia angeitisha bunge la katiba
ndio hivyo tena cha kufia nini? Wacha nile ubuyu tu
Huyu nyumbu alilamba O form fourKwanini wema asipewe UDC si alisoma malaysia. Alafu safari wengi wapo hawana digrii. Na wema kapiga kampeni sana
Tena kwa mai kantryii Tanzaniaaa....nishupaze mishipa ya shingo miyeee!akuuuu!!!wambea wana maisha marefuu sanaaa!!!!Umbea suna jmn... maisha hayatakiwi uwe serious sanaaaa hata kurefresh nooo ebo!
Hivi mama ntilie anaweza kukaa MasakiHahahahahah ila hawa Mastaa wetu bana ni kipengele! Star anakaa nyumba ya kupanga Mbagala😅??? Bora angekuwa hata kapanga Masaki
Hamna namna dada [emoji13][emoji13][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaka maisha marahisi sanaa!!mi nshawahi kupaka rangi nchi yangu nyie jengeni kwanza!
Limekuwaka gofu sasa pale...no clients kabisaElimu imembeba DC ila jiwe nae unaijua ile hotel ya pale mwenge ITV?yule boss lady katotoa nae kale ka last born kake,[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]mdomo komaaaa Mimi!!!!
YesYule bosslady ni mbunge pia[emoji1362] kwakeli mdomo komaaa[emoji87]
Maronya ronya ya buku be... Ila behind the scene kazi halisi ni chakula ya nyokaaWeeeeee!!!!kutokea nyanda za kusini downtown balaaaa!hatare hatareee!!!!