Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ni hulka ya watanzania kupenda umbea na kuchimba maisha ya watu wengine mambo ya msingi Kama katiba hawa wambea wote hutawaona.
[emoji52][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mtajua wenyewe mambo ya katiba ninyi jengeni nchi...sisi tutapaka rangi@Cariha@Golden C@Extrovet na wambea wengineo au siyo ndugu zanguu....!!!??!!!!!!
 
Anapuliza kama kawa, alafu ile siyo biashara kuu, fatilia wauza nguo wote kuanzia robyone, hussein pamba kali na wengine zile biashara wanatakatishia mpunga wa nyeupe. We kuna biashara ya kuipa simba b2 mle ndani jiulize. Ogopa sana mtu anayependa kuelezea background yake aliyopitia kibiashara mara nyingi analazimisha kufuta mawazo ya "kapata wapi mtaji" kwa jamii.
Very true haa haahaa

Wauza maronya ronya wanatuona sisi hatuna akili[emoji848]
 
[emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha....Wema anamtia vibao meneja wa hotel hadharani...!!Wema mpk akaanza kuitwa madame!!!Weee hapana chezea CK kwa wema
Nyumba ya 270mils,kumbe kapangaa!!!hapana wema amekula nchi jamani[emoji3][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji16]hatasahau yaani wema Leo wa kukaaa mbagala kuu huko ndani ndani![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!
Ck akaishia kuuza chipsi pale kinondoni
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaka maisha marahisi sanaa!!mi nshawahi kupaka rangi nchi yangu nyie jengeni kwanza!
Tungekuwa tunachambua vifungu vya katiba hii na rasimu ya Warioba kwa weledi kama uliotumika kwenye huu uzi, Kesho Samia angeitisha bunge la katiba

ndio hivyo tena cha kufia nini? Wacha nile ubuyu tu
 
Elimu imembeba DC ila jiwe nae unaijua ile hotel ya pale mwenge ITV?yule boss lady katotoa nae kale ka last born kake,[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]mdomo komaaaa Mimi!!!!
Limekuwaka gofu sasa pale...no clients kabisa

Na lile vumbi la pale.... soon itageuka kuwa hostel ya udsm kama pale land alama ubungo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom