Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ni hulka ya watanzania kupenda umbea na kuchimba maisha ya watu wengine mambo ya msingi Kama katiba hawa wambea wote hutawaona.
[emoji52][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mtajua wenyewe mambo ya katiba ninyi jengeni nchi...sisi tutapaka rangi@Cariha@Golden C@Extrovet na wambea wengineo au siyo ndugu zanguu....!!!??!!!!!!
 
Very true haa haahaa

Wauza maronya ronya wanatuona sisi hatuna akili[emoji848]
 
Ck akaishia kuuza chipsi pale kinondoni
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaka maisha marahisi sanaa!!mi nshawahi kupaka rangi nchi yangu nyie jengeni kwanza!
Tungekuwa tunachambua vifungu vya katiba hii na rasimu ya Warioba kwa weledi kama uliotumika kwenye huu uzi, Kesho Samia angeitisha bunge la katiba

ndio hivyo tena cha kufia nini? Wacha nile ubuyu tu
 
Limekuwaka gofu sasa pale...no clients kabisa

Na lile vumbi la pale.... soon itageuka kuwa hostel ya udsm kama pale land alama ubungo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…