Mkuu tulia kula ubuyu....virungu vya ugoko unaweza vumilia?Tungekuwa tunachambua vifungu vya katiba hii na rasimu ya Warioba kwa weledi kama uliotumika kwenye huu uzi, Kesho Samia angeitisha bunge la katiba
ndio hivyo tena cha kufia nini? Wacha nile ubuyu tu
Labda msiba ulimvuruga kidogo akashindwa kumanage vizuri....Limekuwaka gofu sasa pale...no clients kabisa
Na lile vumbi la pale.... soon itageuka kuwa hostel ya udsm kama pale land alama ubungo
Kavumilia haswaaa... maana matukio yalikuwepo hata kpnd yupo ministerYes
Asee sikuamini mwanzo, yule mama kavumilia mengi[emoji848]
Ila mwanaume akipata pesa anakuwa zaidi ya shetani, yaan ni umalaya tu mwanzo mwisho[emoji848]
Haa haa haa...kwa nuzurati kumezingua nini[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Siku nikushike utaniita majina yote, huna maana wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli Mkuu kwa mambo ya hii nchi yetu wacha nile ubuyu hapa niongeze siku za kuishi.Mkuu tulia kula ubuyu....virungu vya ugoko unaweza vumilia?
Kula maudakuu tu
Huyo dadangu ujueHaa haa haa...kwa nuzurati kumezingua nini[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Dallas mkatwa masikio....yule mara mwisho nilimuona manzese darajani na wahuni fulan, kwisha habaree yakeNa Dalasi kaenda wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo dadangu ujue
Kumbeee!usinambie shoo!haya ngoja tuone!Limekuwaka gofu sasa pale...no clients kabisa
Na lile vumbi la pale.... soon itageuka kuwa hostel ya udsm kama pale land alama ubungo
Balaa!wanaume hawa wakiwa na pesa utona rangi zooote za duniaYes
Asee sikuamini mwanzo, yule mama kavumilia mengi[emoji848]
Ila mwanaume akipata pesa anakuwa zaidi ya shetani, yaan ni umalaya tu mwanzo mwisho[emoji848]
Vumbi linatokea pembeni na Wakati wa ujenzi hiyo njia yote ya bamaga ina vumbi sio la nchi hii...mi napitaga pale mchanaPamepigwa lami hadi mlangoni na jiwe.
[emoji23][emoji23][emoji23]mambo ya kuitwa gaidi nani anayataka!ngoja siye turefressshhh!!!!Mkuu tulia kula ubuyu....virungu vya ugoko unaweza vumilia?
Kula maudakuu tu
Hapo chachaa[emoji23][emoji23][emoji23]mambo ya kuitwa gaidi nani anayataka!ngoja siye turefressshhh!!!!
Mchepuko hana thamani...pale ndo niliamini[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Hapewe yule hata udiwani!!!DC kipindi cha msiba yaani alikua kimyaaaaaaaa....loooh!kulia anashindwa ukiwa mchepuko jamani taaabu
Si sawa ni kuwa mayai yanatolewa kwa mwanamke pia. Fertilisation inafanyika katika test-tube. Baada ya kupata embryo inaigizwa katika tumbo la mwanamke yeyote ambaye ameandaliwa kupokea mimba. Hivyo unaweza kununua sperm na ukanunua ovaries kutoka kwa watu tofauti na ukaiweka mimba katika tumbo la mwanake tofauti, mtoto akazaliwaIle ni IVF mkuu ..mbegu zinakamuliwa then zinakuwa injected kwa fullopian
Mamaamaaaaee!!!acha baasii![emoji3][emoji3][emoji3]wa kumpangia demu nyumba ga 28millions hahahahha kwa mwaka!daahhhDallas mkatwa masikio....yule mara mwisho nilimuona manzese darajani na wahuni fulan, kwisha habaree yake