witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mkuu tulia kula ubuyu....virungu vya ugoko unaweza vumilia?Tungekuwa tunachambua vifungu vya katiba hii na rasimu ya Warioba kwa weledi kama uliotumika kwenye huu uzi, Kesho Samia angeitisha bunge la katiba
ndio hivyo tena cha kufia nini? Wacha nile ubuyu tu
Kula maudakuu tu