cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Yani hawa hufanya vijana wajione wakosefu kumbe behind za scene ni illegal bussinessHahahahah jamaa wanauza nguo wanaendesha magari ya maana [emoji23][emoji23][emoji23] wauza iPhone wanafuga ndevu wanasukuma mabenz na crown na kushinda Kidimbwini kila mwisho wa week!
Sie tunafeli wapi jamani? iPhone kumbe zinalipa namna hio!