Hellen Jr
JF-Expert Member
- May 10, 2018
- 302
- 639
Soma vizuri dada code utaielewa tuSho betina ni nani jmn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri dada code utaielewa tuSho betina ni nani jmn?
Kuna mshikaji kamla huyu pale Mabibo hostel ni mshikaji wetu those days. Manzi Ndio ilimpenda mshikaji alikuwa handsome Fulani hivi wa kuuzia sura. But relationship yao ilikuwa kiwizi Sana.DC naye kapita kwingi mno na alianza kula makitu akiwa udsm na alitembeza kwa ma lecturer had kupata first class pale. Na hyo kuzaa itakuwa anajijua status yake ndio maana huwa hasemi no kwa yoyote dah atawamaliza wanaume aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kumsaidia mimi apitie vzuri comments atajuaMtu wakumuulizia CK humu sizani kama yuko mjii huu, acha tu apambane na hali yake kwa kumsaidia tu tusipotezeane muda.[emoji23]
Akam joke demu wake watu tumevurugwa na lifestyle analeta mambo ya kinaa😅?Ha ha haha[emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu kaongea kwa joke sidhani kama alikuwa anamaanisha huyo
Ni wa chinichini balaa Arusha ilikuwa sana tu kwa wale madon wa madini mbona... mweeh mdomo huu[emoji87]Kuna mshikaji kamla huyu pale Mabibo hostel ni mshikaji wetu those days. Manzi Ndio ilimpenda mshikaji alikuwa handsome Fulani hivi wa kuuzia sura. But relationship yao ilikuwa kiwizi Sana.
Daah haya maisha mganga Mungu tu.
Hapa kibasi kimeniacha jamani! 😅 hebu nipatieni 16 box nifunguliwe codeIla betina hatari jamani kupewa cheo kwa kuvuliwa [emoji160] ndo amnyanyase ubavu wake kiasi hicho maana na yeye alikuwa ana mpango wake kando, hata huyo mumewe ni handsome balaa kumuoa ilikuwa tu kumsitiri huo betina, na alifanya vibaya kumlipiza mumewe uchepukaji kumfanya atolewe nafasi zote za ulaji, sasa mwendazake kaondoka duniani itakuwa mumewe alipiga kigelegele Cha furaha maana ndio alikuwa ana mpa kibri na hyo 2025 sijui ka atarudi maana mbeleko yake kwishney
Hujaelewa wapi mkuu[emoji23] imebidi nicheke kwanzaHapa kibasi kimeniacha jamani! [emoji28] hebu nipatieni 16 box nifunguliwe code
Betina?Hapa kibasi kimeniacha jamani! [emoji28] hebu nipatieni 16 box nifunguliwe code
Labda BetinaHujaelewa wapi mkuu[emoji23] imebidi nicheke kwanza
Ndio yule aliekwapua ji songi la mwanaharakati Mr.Proud?Betina?
Maredio msaidizi kule jumba la ugogoni
Kama nimemwelewa ila sioni kama ana viwango vya kumtikisa mtima hayati jabali 😅! Nakumbuka Jabali alikuwa mzee wa rangi za ndizi kisukariLabda Betina
Anhaa, yule mbunge chama pinzani aliyekua machachari wa bongofleva sasa lile jimbo lake si ndo likachukuliwa na huyo mnyaki betinaLabda Betina
Wanaume tunapenda vipande vipande huenda hata mguu ulimwangusha jabaliKama nimemwelewa ila sioni kama ana viwango vya kumtikisa mtima hayati jabali [emoji28]! Nakumbuka Jabali alikuwa mzee wa rangi za ndizi kisukari
Mimi nilishategua kitamboAnhaa, yule mbunge chama pinzani aliyekua machachari wa bongofleva sasa lile jimbo lake si ndo likachukuliwa na huyo mnyaki betina
Itakua ndizi sukari ilikua kwa mbususu[emoji3][emoji3][emoji3] watu na siri zao nyieKama nimemwelewa ila sioni kama ana viwango vya kumtikisa mtima hayati jabali [emoji28]! Nakumbuka Jabali alikuwa mzee wa rangi za ndizi kisukari
Nimeshang’amua toka awali nilitaka proof tuMimi nilishategua kitambo
Haswaa maana alikua mwingi wa habari piaWanaume tunapenda vipande vipande huenda hata mguu ulimwangusha jabali
Hii inachomwa wapiSiyo hao tu hata Mapadre na Masista sasa wanaweza kuwa na watoto bila kutenda dhambi ya kuzini. Surrogacy ndiyo mpango mzima kwa sasa. Sista anabaki na bikra yake maana ovaries zinatolewa kwa sindano
[emoji28][emoji28][emoji28]dah et anajikuna hadharaniTobaaaa, jamaa kishaambukizwa kaswende na Uwoya tayari....naona anajikuna mapumbu hadharani. Ila Uwoya jamani ni changu wa hajabu, huyu demu kila mtu anajichapia tu ili mradi umpe kitu kidogo kumsitiri.