Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hahahahah jamaa wanauza nguo wanaendesha magari ya maana [emoji23][emoji23][emoji23] wauza iPhone wanafuga ndevu wanasukuma mabenz na crown na kushinda Kidimbwini kila mwisho wa week!

Sie tunafeli wapi jamani? iPhone kumbe zinalipa namna hio!
Yani hawa hufanya vijana wajione wakosefu kumbe behind za scene ni illegal bussiness
 
Kuna watu wana ngekewa nyie, yule kakosa kila kitu,kashupaa lakini ana ngekewa kuliko[emoji2][emoji2]... Hivi wanaume wanatumia vigezo gani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada ana ngekewa hatari ujue hadi huko kwa mashers ya kaisari ilikuwa connection, then mpaka huko mjengoni. [emoji23][emoji23]Ama hakika usililie uzuri lilia ngekewa tu na Mungu hakunyimi vyote
 
Dah hizi mambo hizi nashukuru Mola hajaniumba na tamaa za kutamani maisha y watu! I’m living in my own means [emoji28]
Hujakutana na network, kuna kijiwe nilikuwa nakaa mpaka najiona fala, yani kama wananishangaa kwanini sina hela ma plug kama yote yamekuja na ma Audi, Ma Cayenne. Sema inahitaji moyo we kunywa tu pombe mambo yao jifanye huyajui.
 
Kuna watu wana ngekewa nyie, yule kakosa kila kitu,kashupaa lakini ana ngekewa kuliko[emoji2][emoji2]... Hivi wanaume wanatumia vigezo gani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi pale kwenye kibanda kuna masharti, maana wamama wote walioshika ile position sura zao na bodi zina muonekano sawa, ilibidi tu labda jiwe alifata masharti ya gamboshi.
 
Hahaaa eti rest action umenichekesha kwerikweri in Magus voice. Mzee jabali alikuwa vizuri sector nyingi sio kufatilia mambo tu hata vimwana tofauti tofauti
Anasema β€œKama hataki si unatafta mshkaji mwengine sasa utakaa tu unatuma tuma mesejπŸ˜‚???”
 
Kwahio nae alikuwa analia siku ile πŸ˜‚
 
Nahisi pale kwenye kibanda kuna masharti, maana wamama wote walioshika ile position sura zao na bodi zina muonekano sawa, ilibidi tu labda jiwe alifata masharti ya gamboshi.
Heri yule mwenye Afro 70 kidogo afadhali Huyu Betty utasema AK47
Dada ana ngekewa hatari ujue hadi huko kwa mashers ya kaisari ilikuwa connection, then mpaka huko mjengoni. [emoji23][emoji23]Ama hakika usililie uzuri lilia ngekewa tu na Mungu hakunyimi vyote
waliosemaga hivi waliona mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unakesha popo kwenye huu uzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…