Sioni pa kwenda majukwa yote yanaboa tu leoNaona unakesha popo kwenye huu uzi
Cariha bwanaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]daahh[emoji23][emoji23][emoji23]hakika Mungu akunyimi vyote na walianza Long time na huyo hayati ndo akampa hyo mi connection mikubwa then had mjengoni. Ujue watu wa sura personal huwa wamebarikiwa sana machine inayofinyia ndani kwa ndani huko lazima tu upagawe. But nowdays kapoa maskini anaomboleza
Ana kigogo mwingine mwenye mkwanja, huyo mchagga alitimiliwa na mamake binti vile hana helaIvi na uyu dada wa bongo fleva mwenye matamasha yake hapa mjini mbona anasapoti kubwa sana kutoka mawinguni kiasi cha kumpiga za uso mchaga wa watu? Mawingu wana ulaji wa aina yao hapa
[emoji23][emoji23][emoji23]Enhe nimeshamaliza kusoma comments ubuyu uendelee..[emoji23]
Yale mbona ya Mawingu studio Yale..!!!50% 50%Ivi na uyu dada wa bongo fleva mwenye matamasha yake hapa mjini mbona anasapoti kubwa sana kutoka mawinguni kiasi cha kumpiga za uso mchaga wa watu? Mawingu wana ulaji wa aina yao hapa
Hata hayati kuondoka kutakuwa kumemfuraisha handsome boy mno jeuri kwishney, hapo betina anawaza tu hatima yake after 2025Acha kabisaa kamkomesha handsome balaa!!!yaani ubavu hana hamu na Mrs wake!na hapiti 2025 atafute tu chimbo lingine ila Kule kwa wanyaki ishakula kwake!
Yaani Mr.anajutaaa balaa
Twende kwenye Siasa tukapambanie katibaSioni pa kwenda majukwa yote yanaboa tu leo
Kule watantia ban mda si mrefu maana spana zangu Mod zinawachomagaTwende kwenye Siasa tukapambanie katiba
[emoj
Lakini kwa nini yeye na sio wengine? Au ndo wanamuenzi jasiri muongoza njia?..Yale mbona ya Mawingu studio Yale..!!!50% 50%
Bila shaka ni kijana wangu wa ku Tag Ubavu😅 alielimwa Discontinued!Ana kigogo mwingine mwenye mkwanja, huyo mchagga alitimiliwa na mamake binti vile hana hela
Yes ata miss pia siunajua jabali alimtoa vumbini na kumketisha juu ya kula mema ya nchiHhahahaha kwamba ataimisi mikito.com ya bwana jabali
Hapendwi mtu inapendwa pochi nene tu, alijisemea hayati Jabali!Dah...aise wamama hawa Mungu anawaona Mchagga wa watu kafia kwa mtani wake kumbe maza kaweka pesa mbele...[emoji1]
Ila zile V8 tamu sio mchezo, unaweza ukajikuta unakufuru tu na kuona wanyonge kama kundi la mbuzi zizini😅😅😅Yes ata miss pia siunajua jabali alimtoa vumbini na kumketisha juu ya kula mema ya nchi
Hahaaa eti vichwa 7 ni first eleven bado nyingine, hafu kipindi cha mwishoni jabali alikuwa anajipooza kwa malaika wa utamu wa nanasi after miss DC kuzingua na katibu kata,Eeh hapo ndipo jabali alikuwa anacheza kama pele[emoji28][emoji28][emoji28] ila kaacha kijiji nyuma! Vile vichwa 7 vya kilioni ni first eleven tu ila kuna Sub za kutosha!
Hao maofisa ndo wanawala sasa!!!Acha wewe wanapataje upenyo na jamaa wanawawekea ma ofisa vipenyo kama wote
[emoji23][emoji23]Cariha bwanaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]daahh
Eeh bora umenifungulia [emoji23]Anhaa, yule mbunge chama pinzani aliyekua machachari wa bongofleva sasa lile jimbo lake si ndo likachukuliwa na huyo mnyaki betina