Dah ina maana wa Bagawise alipiga pia ile mama dah😂!!! Yule mzee nimemvulia kofia aisee,,,mtoto nilimuona sana kwenye movie za Mussa banzi zile nikawa namtamani japo nilikuwa home boy kumbe mzee wa Mipapai kashatia ki Zygote 😂😂😂Hata yule bongo movie alizaa nae mtoto wa kiume hanshamu boy mwenye jina km la wale watoto wa marehemu aliyeondoka na bongo movie yake
Malaika wa zogo na raruaHii code ya malaika inahitaji namba 8 box kuitekenyua[emoji28] nimetoka kapa
Imeisha hio! Mtoto wa mzee Chilo mbongo movie..Ile baby face hata mie ningeruka nayo!Malaika wa zogo na rarua
Ni mtamu Sana yule kuanzia sauti Hadi visigino .... Sijui kwa nini aliacha kuimba.Imeisha hio! Mtoto wa mzee Chilo mbongo movie..Ile baby face hata mie ningeruka nayo!
Bill mivyupi kajiwasha 😅Yani kweli mtu yupo steji ile akajilipua mmmh si bora awe na afya kwamba alikua hajui??? Kwahiyo na billmivyupi pia...
Aah kashapewa shavu nini! Maana kipindi kile Jabali anapigiwa chapuo sindio alikuwa kifront kwenye zile jingle za mboga mboga majukwaani😂Ni mtamu Sana yule kuanzia sauti Hadi visigino .... Sijui kwa nini aliacha kuimba.
Nasikia ni balozi wa wazungu huko . Mambo ya michezo kwa wanafunzi
Yap yupo na kala kwenye huo ubaloziAah kashapewa shavu nini! Maana kipindi kile Jabali anapigiwa chapuo sindio alikuwa kifront kwenye zile jingle za mboga mboga majukwaani[emoji23]
Baasi ndo maana chikonda alikubali fastaa kuolewaSheby ana mpunga, katelefone ni mjomba wake kabisa! Na ndiyo kakuliwa na kulelewa na katelefone
Ila huyo mdd yn yuko cool. Amejitahid sn hana maskendo sn km bongo muvi wenzieDah ina maana wa Bagawise alipiga pia ile mama dah😂!!! Yule mzee nimemvulia kofia aisee,,,mtoto nilimuona sana kwenye movie za Mussa banzi zile nikawa namtamani japo nilikuwa home boy kumbe mzee wa Mipapai kashatia ki Zygote 😂😂😂
Sema hivi hana taarifa kuwa minjiks chikonda aka Era-Lighting yuko kwenye grid ya taifa! Au ndio kufukuzia kitonga ya ile 40% ya pale mawinguni ya hayati GERU.Sheby wa kawaida tu, huyo kimbaumbau alipewa tu connection ili kumkomoa mzazi mwenza
Mchicha mwiba yule bwanaaKuna kitu sio bure, kwamba wanawake wote wana matatizo....teh
Yule demu yuko vizuri mno! Anajielewa yani anakula life yake kimya kimya😆Ila huyo mdd yn yuko cool. Amejitahid sn hana maskendo sn km bongo muvi wenzie
Huyo chikonda walisemaga alitolewa barua mbil, moja ya marehem na nyingine ndo ya huyo sheby. Ttzo marehem sijui alizingua nn bas chikonda ndo kuama kuolewa na sheby
Anajielewa sana kwa kweli, hongera zake.Yule demu yuko vizuri mno! Anajielewa yani anakula life yake kimya kimya😆
Naaanza na code na mojaaa....Nenda kwa code shoo ngoja nikusaidie mmoja upande wa lidas yule aliyekuwaga kule kwnye ile sekta ya kijani kibichi akapigwa chini na stone sasa wa nyuma yake[emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092]
Alifata jina tu huyo kuna watu ma risk taker sanaSema hivi hana taarifa kuwa minjiks yuko kwenye grid ya taifa! Au ndio kufukuzia kitonga ya ile 40% ya pale mawinguni ya hayati GERU.
Chikonda alivoona yule mpare ana force sana, pia yule dada kumshambulia kisa Mwendazake na mimba uzalendo uka mshindaHuyo chikonda walisemaga alitolewa barua mbil, moja ya marehem na nyingine ndo ya huyo sheby. Ttzo marehem sijui alizingua nn bas chikonda ndo kuama kuolewa na sheby
Na zile mbwembwe za mjengo mkali mixa basket court ndani ila kweli kidume mwenye dough anaenda kuishi kwa manzi! Mkisema jamaa ana mzigo nakuwa sielewi😅Alifata jina tu huyo kuna watu ma risk taker sana
Yule alishaolewa two times rafiki maana yule second boni wake kama gabachori hivi alibadili mpk dini akaolewa mosque wedding after failure from chachi marriage!!upoooo?!!!!!!Mama mwenyewe hana Mme,mtoto atapata wapi Mme zaidi yakudanga tu,sema yeye udangaji wake ni wakificho sana,sio kama tutusa Kajala! Binti ana kiburi shetani anasubiri!
[emoji16][emoji16][emoji16]lengo Uzi uishi huu!maumbea ya town yooote tuyapatw humuuu!!!!@instagram ameleta balaaaHahahaaaa.
Acha tu mtu unaconcentrate kwenye uzi kama vile unafanya mtihani.