Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ila Mpare alikuwa kashanyakua taji dakika za majeruhi sema ndio hivyo bwana alitoa na akatwaa kiumbe chake 😂 story ikaishia Muleba!Chikonda alivoona yule mpare ana force sana, pia yule dada kumshambulia kisa Mwendazake na mimba uzalendo uka mshinda