Ila Mpare alikuwa kashanyakua taji dakika za majeruhi sema ndio hivyo bwana alitoa na akatwaa kiumbe chake π story ikaishia Muleba!Chikonda alivoona yule mpare ana force sana, pia yule dada kumshambulia kisa Mwendazake na mimba uzalendo uka mshinda
Yaani maana nimerahisisha mnooo!staki kuamini kama anakaa ilala may be anakaa ilala ya Mvuti!Anhaa hapa usipoinyaka sasa utatuangusha wakat mtoto wa town weyee[emoji12]
Huko chamani had upate kitu lazima utafunwe haswa mpaka basiEeh watu waheshimiwe jamani[emoji28] sponsor hudanjar! Na akifa watu wanapoteana kabisa yani [emoji23][emoji23][emoji23]! Betina ndoa itakuwa imekata na cheo hana sasa sijui ataelekea wapi!
Jamaa sema naskia aliwatafuna mno yani kwa kupitia mgongo wa Ilani ya chama[emoji28]
Wee Pale ni 7m shosti yaani yule ex Mrs Raj hana lolote unaambiwa mbwembwee tuuu!!!!na anadanga km kawaaa!!!Hivi pale private si laki sita au alikaa siku nyingi?
Dah ama kweli ukiwa mrembo na chawa wa mboga mboga ukakosa maisha basi ujue wewe ni wa kufa Kilofa tu!Yap yupo na kala kwenye huo ubalozi
Yule anaonekana tu mti mkavu ule hapa nasubiria nikikutana na infoma wangu anambie kisa ya Mrs chidi malavolove na mama jujujuu kukwaroo!!!Mamaa jujuu naskia roho yake ngumu kuliko ya mkaanga sumu plus unafiki wa kiwango Cha lami
Hahahahah na wote wanatafunana balaa yani sio wamama wala mabinti yani ni mwendo wa kugawana nguzo za REA tuπHuko chamani had upate kitu lazima utafunwe haswa mpaka basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jabali aliumizwa sana na kitendo cha mrembo na aliongea kwa uchungu, ila ilibidi ampotezee aende kwa mrembo mwingineHahahaha baada ya kuanza kuvaa sare na yule mchimba chumvi wake pale uhalawe kidongo chekundu nilimsikia alwatani Jabali akimtia spana kwenye kadamnasi kuwa βNilishamwambia aachane na mambo ya wake za watuβ [emoji23][emoji23][emoji23] ila Jabali alikuwa Mwamba sana yani. Hapo hapo akadai jamani wananchi hii pisi hamuioni jamani imenyooka namna hii! Akawasakizia wahuni wamtafune DC bigjii
Ni jeuri,kibri hajapata kutokea yule mama ..muoneni vile vile yaani!jeuri na hana anachojali mwanaume anachemka mwenyewe!!!Alifanyaje had akaachwa, inaonyesha mnafiki sana kipindi watu Wana mshambulia Paula yeye akawa ana mpost mwanawe na Matokeo yake ya shule ili mwanawe aonekane mzuri eti
Inaonyesha tu kwa hyo attitude yake aisee kila mtoto na mwanaweNi jeuri,kibri hajapata kutokea yule mama ..muoneni vile vile yaani!jeuri na hana anachojali mwanaume anachemka mwenyewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ss hv mpare angekua mrs fulani, mana hd kwny msiba alipewa kipaumbele sn km mke vile, dah sema ndo hivo kifo kimeharibu mambo.Ila Mpare alikuwa kashanyakua taji dakika za majeruhi sema ndio hivyo bwana alitoa na akatwaa kiumbe chake π story ikaishia Muleba!
Hahahah yani kuna matukio yanachekesha sana dah! Mtu kaumia kisa hawara yani halafu kwa hasira akamchapa barua mchimba chumvi akalie na mkewe hukoππππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jabali aliumizwa sana na kitendo cha mrembo na aliongea kwa uchungu, ila ilibidi ampotezee aende kwa mrembo mwingine
Mnooo!watu wanapenda sana ubuyu yaani viwaz wengi means wanaitana tuu!wengine wanasoma kimya kimya!ukute na wenyewe wanasoma!Uzi huu una views nyingi kweli watu wapenda ubuyu
Ule wimbo alioimbaga na chege chigunda huujui, unaimbwa hivi tukutaneee uswazi take awaaay[emoji445][emoji445][emoji445]Hii code ya malaika inahitaji namba 8 box kuitekenyua[emoji28] nimetoka kapa
Hana akili ya maisha yule Dada we muache atajuta baadaeKanunua nje ya mjini sio prime location ni shamba lile , kwa hela anazochezea alikua na uwezo wa kununua viwanja au nyumba mbezi beach akajenga villa za kuuza au kupangisha na yeye akaishi kwenye villa moja
Naona alimweka sub mMzee wa Tag ubavu ,alikuwa anampa utam kimya kimya,ila wanawake Mungu anawaona, hata mwaka hujaisha baada Jasiri kutangulia mbele ya haki, Mzee wa Tag akamvalisha pete.Ss hv mpare angekua mrs fulani, mana hd kwny msiba alipewa kipaumbele sn km mke vile, dah sema ndo hivo kifo kimeharibu mambo.
Hata yeye mwenyewe hakufichaSs hv mpare angekua mrs fulani, mana hd kwny msiba alipewa kipaumbele sn km mke vile, dah sema ndo hivo kifo kimeharibu mambo.