Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Asante mpendwa tuanze ile ya jina la Shangazi wa bongo moviesNjoo nikufungulie bibie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mpendwa tuanze ile ya jina la Shangazi wa bongo moviesNjoo nikufungulie bibie
Dada ake na basha la Aunt la zamani lililokuwa linambonda mpaka akamiscarriageDuh kama nampata hafu dish linakata signal
Wanadanga kishenzi 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katelephone mubaya huyo in jotis voice loh. Ila hawa wasanii sanaa haiwalipi ni njaa Kali kilichobaki ni ujasiriamwili
Hebu nifungulie code ya jina la pm😬😬Tatizo Nguzo 5 za kiislamu! Ukiingia Rome inabidi uwe Mroma
Ewaaaa!!umepata 100%kunywa Savannah bill kwangu!Weee shosti ndo huyo huyooo!mshikaji ana mzigo balaaaa wa mbesaa tena alimhamishia nyuu housi...upoooo?!!!!!!bidada yule akaendekeza umalaya bwanaa!kaingiza kiben10 ndani kumbe nyuma ina CCTV Mme anaona mchezo woteee!Aah nshamjua sio huyu katoka kunifungua juzi kati hapo....ana michunusi balaa
Sasa mbona basha ake ni marioo, yule jamaa ana hela kweli?[emoji848]
Wema amekuwa kama fido dido😅Shida hata uufanyie nini mwili kila kipindi huwa kina wakati wake ukipita hata ufanyaje haurudi ndio yaliyo mkuta wema. Mobeto hata mtoto wa kwanza alitoa mafuta tumboni. Kiukweli mimi sionagi big deal na makalio sijui vile ni mwanamke
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]ila nyie bwanaa!Njoo nikufungulie bibie
Duh why?Rose Garden zamani sijawai hata kunukuu jina lake miaka 25 sasa
Sasa hivi maslay wako wengi ndo maana kwa hyo Pau atadoda mapema mnooo!!!!Hafu Paula hajakuta umaarufu wa wema hata robo couple yenyewe imeanza kudoda
Swahiba wake Mwendazake humjui 😅 mr.KatelefoneHebu nifungulie code ya jina la pm😬😬
Kweli maisha kupanda na kushuka.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mjini hapa Hamisa kwa sasa anadanga kwa akili balaa yule yuko vzr kilifeHahahahah hii inaitwa play ya cardz right[emoji28] demu ni Mogul! Mi ni mkali ila hii ni Salute!!!
[emoji3][emoji3]jukwaa lilipoa nyuzi inatembea balaa!afu aloweka sridi wala kahama!![emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] mnabalaaa
Na ndo anakutana na mama zake mawindoni wamegoma kuzeekaPaula c ndo anaamka jaman hata
Usingz hajamaliza
Wanaita kudanga kwa Weledi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mjini hapa Hamisa kwa sasa anadanga kwa akili balaa yule yuko vzr kilife
Aiseeee[emoji849][emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]Hebu nifungulie code ya jina la pm[emoji51][emoji51]
Shukrani mkuuKiranja mkuu...p..m
Sijui ameishia wapi maana alikuwa anadaiwa like three milions na ushee plus madeni mengineAnaishi wapi sasa hivi
Maana pale alikuwa analipiwa na zero brain mitako
Halafu wanapewa tuzo na mawingu FmWasheeenzi wale wanajifanyaga tu oohh!nilianza na sahani moja nna mihagawa 7 kumaaaninaa!nawamindig sanaa!we wenzao tunashustle huku hatufikii hizp level!nyapuu tu msingi mjini
Asalaleli hapo umenifunguaSio marope February?