Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Dc mrembo hana hata mtoto, kizuri cha ukimwi ukiwa na pesa utaushi zaidi ya miaka 50 kama huyo uwoya hafi leo maana nasikia pesa zipo hadi za kuogea maziwa mwili mzima.

Haya yotee bado tu wanasema hana nyumba hivi inawezekana kweli?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kimsingi ukifikia hapo nyumba ni swala la maamuzi tu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yule maji yalishamwagika alaf
Naona jamaa wa kupanda dau
Labda hawajafka

Maana nenga alikua anaonekana
Kama kina whoz Tu na wenzake
Hapo ndo naona Mrs hawez lea yy anataka
Kulelewa
Hahahahah!!!demu wa kipare anakula ugali kwa picha anahonga?!nenga kachemka sana falaa yule!! Akaze p atafute pesaa!
 
Kilichomupeleka agha khani nini bila kukata bima kubwa ya jubilee insurance nini why Ali choose operation, hawa mastaa wetu followers wengi ila hawana kitu hadi operation achangiwa maana agha Khan operation tu bei ya gari ndogo si angeenda mwananyamala au sinza palestina hospital zetu walala hoi
Watoto wanapenda mauzo halafu hela hawana 😅
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom