Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Yes mkuuHivi unamaanisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mkuuHivi unamaanisho?
Hebu mwambie askukatishe starehe yakoIna shida gani mkuu si kilevi kwamba nitalewa
Ewaa😀Hebu mwambie askukatishe starehe yako
Akipenda boga penda na ya lake
Ukiwa na mawazo mabaya uwe unanicheki bibieMimi mara chache natumia hasa nikiwa na vimawazo vibaya
Alaf unasema n kuzur YanHawapo japo juzi walilipua gari la wachezaji huku mbona inatokea tu kumepowa now[emoji3]
Sawa kama nitakumbuka kukuchekiUkiwa na mawazo mabaya uwe unanicheki bibie
Nimekutumia address bibieSawa kama nitakumbuka kukucheki
Sawa mkuuNimekutumia address bibie
Nimekukubali jinsi ulivyo bibieEwaa[emoji3]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sasa Kama Hana nyingine afanyeje na huduma anaitaka[emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahh!wadada wa mjini jamani!wana hoja balaa!
Ila moo hyo sifa anayo ya ubakhili mwee!!!
Kwa mpalange na laki moja tu![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaazi
Sasa hamisa si mdangaji anatafta fursa so kwa Mo aliingia Cha kiume mwamedi hahongi hovyo na anapenda kusererekea kwa mpalange akikupa laki shukuru Mungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] inbox za Jf. Code matata nimechekaaaKule na yule mwenye jina kama inbox za jf....!!!
Yule dem nilikuwa simpendi kabisa tokana na mashauzi yake ya kishamba ya kujitapa kavaa nguo za mil.3 mara oh yeye haachiki! Sahizi haamini kilichotokea 😅😅😅Yule mwanamke bado anamtaka Sana
Van maana anaona pale kuna pesa so pesa
Za mtoto matumiz ndo anataka azivune
Ndo maana hata kuchafua CV yake
Anajua Kwa Paula n kama njia Tu ya kupita
Kutokea barabaran
I code nimetoka kapa😂Sasa nje alikuwa anatafuta nini daah[emoji134][emoji134]
Wanawake bana
Mkuu acha kutaja majina baasi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]!!!tutafungwaaMusa yule mwenye manyama ya uzembe
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ushaamkia kilingen[emoji1][emoji1]Mkuu acha kutaja majina baasi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]!!!tutafungwaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dem Fala Sana YuleYule dem nilikuwa simpendi kabisa tokana na mashauzi yake ya kishamba ya kujitapa kavaa nguo za mil.3 mara oh yeye haachiki! Sahizi haamini kilichotokea [emoji28][emoji28][emoji28]
Na wanahonga pia!wana pesa na watoaji maana kuhonga kipaji!Bora hata mzee machache nasikia alikuwa kidooogo anawatoa kimaisha baadhi ya hawara zake k.v madam ritha alisaidiwa bss, maua sama nasikia alihongwa rav4, dokii alipewa usd 7000, restfyfishbbq etc
Ndo maana Mzee machache alivofariki madam ritha alilia sana maskini, ukute madam ritha alishapewa na kuhongwa hundreds of millions of tshs na mzee machache
Miaka ya 1990's Mzee machache alikuwa anahonga wadada wa vyuo tsh laki tano tano za kujiandaa for a date, kuna wanaume wana hela dooh Sky Eclat reymage cariha
Mmmmmh!! Hapana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kimsingi ukifikia hapo nyumba ni swala la maamuzi tu