usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Heshima jina Tu na sutiHuu uzi ni bora ufugwe watu wenye heshima zao wamezalilishwa humu bila kuwa na ushaid wowot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima jina Tu na sutiHuu uzi ni bora ufugwe watu wenye heshima zao wamezalilishwa humu bila kuwa na ushaid wowot
Eeeh nishampata, kumbe dada alifumaniwaga[emoji849]Mpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!
🙄🙄🙄Watu wanatoka nyuma wanamjua ila mm bdo🤦Eeeh nishampata, kumbe dada alifumaniwaga[emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwakeli mkuuKatelefone inatosha tu kuelewa kuwa anazungumziwa P.M! Inaonesha somo la uraia lilikuwa gumu sana kwako [emoji28][emoji28][emoji28]
Daah dada ake jack unguja anaitwa nani?[emoji849][emoji849][emoji849]Watu wanatoka nyuma wanamjua ila mm bdo[emoji1751]
[emoji23][emoji16][emoji16]Wanasema kuolewa ni Sheria kuzaa ni Majaaliwa
Ustar wa bongo jina kubwa ma milion ya follwers huku huna hela si ujinga huoWatoto wanapenda mauzo halafu hela hawana [emoji28]
Huyo juzi kati kalalamika mimba ake inatumiwa na waganga wa matangazo kuwa wamempa dawa daaah!I code nimetoka kapa[emoji23]
Hivi Will yake imeishia wapi?Kudadeki huyu mzee Machache kumbe alikuwa kiwembe na alikuwa mgonjwa wa long ndio maana walitengana na wife, dah kumbe kapita hadi na rest fishy babaq, maua Sam'a hadi na kina dokii loh.
I think madam Rita benefited from mengi kuliko mama wawili maana tangu will itoke kawa mpole maskini
Hehehe[emoji16]Nimekutumia address bibie
Yes ndo engineer wa kila kitu.Hahahah inbox ndio masterplan [emoji28]
Acha uchuro huu Uzi Nani katajwa hapa, hafu hayo si matendo yaoHuu uzi ni bora ufugwe watu wenye heshima zao wamezalilishwa humu bila kuwa na ushaid wowot
Assalamualaikum my dearUzi unakimbia huu khu khaa[emoji23][emoji23]...cariha na wenzio nawasalimu
Alishindwa case yake kawa mpole akaanza hadi kudanga sikuhizi simuoni IG tena maskiniHivi Will yake imeishia wapi?
Umemfungulia wazi kabisaaDaah dada ake jack unguja anaitwa nani?
Na wale maG5 hawapo tenaaAlishindwa case yake kawa mpole akaanza hadi kudanga sikuhizi simuoni IG tena maskini
Urafiki ukafa kifo cha mende ujue walikuwa wana benefit kwa mama wawili, ila naskia Nancy ndo alikuwa mumbeya wa chokochoko za hapa na pale lohNa wale maG5 hawapo tenaa
Kale huwa kana hizo pigo, afu kanaplay u humble... ila mjane nae akili aliziweka wapi kuwekeza akawa km nyumbuUrafiki ukafa kifo cha mende ujue walikuwa wana benefit kwa mama wawili, ila naskia Nancy ndo alikuwa mumbeya wa chokochoko za hapa na pale loh