Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kudadeki huyu mzee Machache kumbe alikuwa kiwembe na alikuwa mgonjwa wa long ndio maana walitengana na wife, dah kumbe kapita hadi na rest fishy babaq, maua Sam'a hadi na kina dokii loh.
I think madam Rita benefited from mengi kuliko mama wawili maana tangu will itoke kawa mpole maskini
Hivi Will yake imeishia wapi?
 
Katele alivunja uchumba wa mtu yaani alindatisha mdada aka Leta madharau kwa mshikaji wetu! Aka mpa stress haswa jamaa alidukua cm ya mdada alucho kutana nacho Ana sema hakuwahi dhania aisee! Bidada alikuwa Hadi ktk misafara ya katele yupo! Mwisho alibwagwa akaanza kusumbua misamaha ya hapa na pale! Jamaa aka mjibu ukitaka kurudi kwangu twende tukapime afya aligoma Ila kawe kwa na katele serikalini Ana jiachia hatari amekuwa mlezi wa wana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom