Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hawapo japo juzi walilipua gari la wachezaji huku mbona inatokea tu kumepowa now[emoji3]
Alaf unasema n kuzur Yan
Naeza panga nakuja kupeleka Moto
Alaf mm ndo nkageuzwa mchanga
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Huko hapana
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahh!wadada wa mjini jamani!wana hoja balaa!
Ila moo hyo sifa anayo ya ubakhili mwee!!!
Kwa mpalange na laki moja tu![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaazi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sasa Kama Hana nyingine afanyeje na huduma anaitaka[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Sasa hamisa si mdangaji anatafta fursa so kwa Mo aliingia Cha kiume mwamedi hahongi hovyo na anapenda kusererekea kwa mpalange akikupa laki shukuru Mungu

Bora hata mzee machache nasikia alikuwa kidooogo anawatoa kimaisha baadhi ya hawara zake k.v madam ritha alisaidiwa bss, maua sama nasikia alihongwa rav4, dokii alipewa usd 7000, restfyfishbbq etc

Ndo maana Mzee machache alivofariki madam ritha alilia sana maskini, ukute madam ritha alishapewa na kuhongwa hundreds of millions of tshs na mzee machache

Miaka ya 1990's Mzee machache alikuwa anahonga wadada wa vyuo tsh laki tano tano za kujiandaa for a date, kuna wanaume wana hela dooh Sky Eclat reymage cariha
 
Yule mwanamke bado anamtaka Sana
Van maana anaona pale kuna pesa so pesa
Za mtoto matumiz ndo anataka azivune
Ndo maana hata kuchafua CV yake
Anajua Kwa Paula n kama njia Tu ya kupita
Kutokea barabaran
Yule dem nilikuwa simpendi kabisa tokana na mashauzi yake ya kishamba ya kujitapa kavaa nguo za mil.3 mara oh yeye haachiki! Sahizi haamini kilichotokea 😅😅😅
 
Mkuu acha kutaja majina baasi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]!!!tutafungwaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ushaamkia kilingen[emoji1][emoji1]
 
Yule dem nilikuwa simpendi kabisa tokana na mashauzi yake ya kishamba ya kujitapa kavaa nguo za mil.3 mara oh yeye haachiki! Sahizi haamini kilichotokea [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dem Fala Sana Yule
Mganga wake alimuingiza chaka na nusu
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Bora hata mzee machache nasikia alikuwa kidooogo anawatoa kimaisha baadhi ya hawara zake k.v madam ritha alisaidiwa bss, maua sama nasikia alihongwa rav4, dokii alipewa usd 7000, restfyfishbbq etc

Ndo maana Mzee machache alivofariki madam ritha alilia sana maskini, ukute madam ritha alishapewa na kuhongwa hundreds of millions of tshs na mzee machache

Miaka ya 1990's Mzee machache alikuwa anahonga wadada wa vyuo tsh laki tano tano za kujiandaa for a date, kuna wanaume wana hela dooh Sky Eclat reymage cariha
Na wanahonga pia!wana pesa na watoaji maana kuhonga kipaji!
Ndo màana Miss Millenium alikua anakula good time balaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom