Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yule alionesha wazwaz alvomkavu hata kwenye kipindi yani akafanya mpaka
Mwenzie mama wa vichenparty
Akasmamishwa kaz alaf mshahara anapokea
Lakin kazin huend.

Akampgia shogaake pande akakaba
Nafac mpaka Sana

Yani had bek 3 wake naskia alikua
Anawapeleka Kama watumwa
Tena mm wa vitchen party ashukuru wambea wa insta maana kuna siku alipost kuhusu kuoneana wivu kazini, basi watu wa insta wakaanza kumtag huyo kimbau mbau na kumchamba yn macoment km yote. Baada ya ile post ndo huyo mwrnye kitchen party akaajiriwa kwenye ile redio. Mana watu walichambaaaaa htr
 
Code simpooo ,nenda Zanzibar taja visiwa,Ingiza jina la mcheza movie za kichina yule chalechale then chukua jina la mwanzo na la kisiwa cha kule makunduchi,mtafute sista ake huyo mshikaji Google! Usipoelewa hapo mi nakuvua vyeo vyote vya kukaa ilala hii ya mtaa wa Arusha na kwa yule muuza chips maarufu wa enzi hizo jina limentoka kidogoo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwakutukomaza ubongo jamani vocabulary si mchezo mchezo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena mm wa vitchen party ashukuru wambea wa insta maana kuna siku alipost kuhusu kuoneana wivu kazini, basi watu wa insta wakaanza kumtag huyo kimbau mbau na kumchamba yn macoment km yote. Baada ya ile post ndo huyo mwrnye kitchen party akaajiriwa kwenye ile redio. Mana watu walichambaaaaa htr
Na Ile post aliweka ikimhusu mlengwa
Kimbau mbau ndo watu wakaamua
Kumtagi mazima,

kimbaombao
Alikua na nguvu maana papuch
Ilikua inampa nguvu ya kufanya anavotaka

Ila mpaka leo cjawah jua nn walifanyiana
Na Yule kisu kikali mpaka wakatemana
Licha ya damu kuungana
 
Wee Pale ni 7m shosti yaani yule ex Mrs Raj hana lolote unaambiwa mbwembwee tuuu!!!!na anadanga km kawaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifanyaga ana hela sana sana

Ila werevaa analewaa sana jamani

Imagine zile wine ni gereshaa ndani ya insta fam, ila uhalisia anakunywa misafari lager na mtu ananyonyesha daah[emoji848]
 
Na Ile post aliweka ikimhusu mlengwa
Kimbau mbau ndo watu wakaamua
Kumtagi mazima,

kimbaombao
Alikua na nguvu maana papuch
Ilikua inampa nguvu ya kufanya anavotaka

Ila mpaka leo cjawah jua nn walifanyiana
Na Yule kisu kikali mpaka wakatemana
Licha ya damu kuungana
Eeh hata sijui ila huyo kisu kikali si alichumbia mwanamke mwingine, tena walitrend insta. Lkn hd ss hv hajamuoa huyo alomchumbia na sijui km wako wote au waliachana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom