cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Atafte watu wazima Fred mwenyewe katili palepale uwanjani kamkumbatia hamisa, na jezi ya Simba akavaa juu, I do believe pressure za jamii zinamfanya ahangaike maisha ni zaidi ya ndoa, mwanaume wake atakayempenda yupo tu aiseeUmri umeenda.......... sio kosa lake na ndivyo inavyokuwa japokuwa dada yangu bingwa wa kupinga, tunao mtaani wana maisha mazuri..... ila sasa hawana ndoa na hata wanao wapata ni chapa ilale.