Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uko sahihi umaskini na njaa huchakaza Sana watu,mama dangote Sasa hivi kijana kabisa
Yan Kwa sasa anamzid hata esma Kwa
Mvuto jaman aiseee pesa hii

Alaf 10yrs ago alikua Kama Bibi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Amkeni amkeni
Screenshot_20211006-152439_Instagram.jpg
 
Rasmi Manara na mkewe wameachana yasemekana bwana yule na nduguze wana gubu balaaa!!!na hivi ye ndo mzungu waoo baasi ndugu we uzaramoni na umanyema wamejaa kibaoo!!kumtoa hila bi nashida!!!
 
Rasmi Manara na mkewe wameachana yasemekana bwana yule na nduguze wana gubu balaaa!!!na hivi ye ndo mzungu waoo baasi ndugu we uzaramoni na umanyema wamejaa kibaoo!!kumtoa hila bi nashida!!!
Kuna mtu wangu wa karibu,alishawahi niambia kuishi na Haji Manara ni kazi mno!

Hata huko Simba,walimvumilia sana,kuishi nae hiyo miaka 6 sijui miaka 7! Yeye hua hana hoja,hua anakimbilia kwenye ulemavu wake tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom