Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Sawa mzee wa upindeHii ya kufa kwan gays tu ndo wanakufa? Hao straight au bisexuals hawafi?
Kifo kipo tyuh hata usiwe na hisia za kmapenzi au hanithi unakufa km kawaida,
Ila tatzo la wanadamu vidole, gay akifa bas u gay ndo sababu khaaah,
Wote hawa waliokufa n gays? [emoji23][emoji23][emoji23] jaman sometimes muwage hata mnakua na records, au muweke matokeo ya utafiti tupime huo ukweli wa mambo,
Watu wanafanya maovu au mabaya zaidi ya ushoga,ila akaaah kmya tyuuh, kila mtu na mwili wake anajua yeye namna ya kuutumia,
malaya na maakahaba, Hawa nao je hawafi kwa maradhi?yatokanayo na ukahaba? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sikuwezi wewe nasalimu amri[emoji2]