change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Siku zote watu wenye low brain capacity uwa hamjui kujenga hoja zaidi ya kutoa matusi! Wewe utakuwa ni wale zero brain sidhani hata shule ulipata chochote! Nimekuuliza maswali ya msingi baada ya kujibu unatoa matusi!! Shame idiot!Nyie ni chawa mnaolipwa na.mo.kumtetea mitandaoni, ishu ni kuhusu uwekezaji wa mo Simba lakini mapovu yanavyokutoka utafikiri ni nyumba yake ndogo.
Mo angekua anatimiza wajibu wake timu isingekua hivyoTatizo liko wapi kwake! Yeye ametimiza wajibu wake! Nioneshe kosa lake? Baba yako amekulipia kila kitu shuleni mwisho wa siku unaleta ziro nyumbani! Ni kosa lako au la baba yako?
Elewa MO ni muekezaji! Mwekezaji yeyote anataka faida! Amewekeza Simba ili apate profit return! na anatoa pesa kadili ya makubaliano! Nyie wengine mnatimiza majukumu yenu?!
Viongozi wenu wanatimiza wajibu wao? Au wamekaa tu wanasubili pesa za MO zije wazitafune kwa kufanya ujanja wa kupata 10% ? Akija mwekezaji mwingine wakina Kajura,try again Abdala,na Mangungu ndio watatimiza wajibu wao vizuri?
Watanzania mmezoea na kulemazwa na ujamaa,mnapenda wengine wawajibike kwenye furaha yenu bila nyinyi kuwajibika kwa lolote
Mpira ni biashara GSM kaonyesha, pumbavu kati ya Mo na GSM nani kamuonyesha mwenzake?Mpira ni biashara, gsm kaonyesha hivyo mo akiondoka itakuwa fursa kwa watu wengine kujitokeza.
Jiulize wakati Sheria inasemaje wawekezaji wasiwe chini ya watatu kwanini anataka yeye peke yake awe mwekezaji.
Pumbavu aliyekuzaaMpira ni biashara GSM kaonyesha, pumbavu kati ya Mo na GSM nani kamuonyesha mwenzake?
Hawa ni chawa tu, ukweli wanaujua ila hawawezi sema mirija itakataMo kutoka simba labda muigawe simba 51% kwa 49%.
Nyie shinikizeni uongozi mpya
Try again na C.E.O wawapishe
Majula kwa football hawezi kabisa
Mo yuko mbali sana kwa kuanza kumhoji
Hela anatoa
CEO aulizwe yeye ndio mtendaji mkuu kuliko mo, try again na mangungu boy
😆😆Kampuni zote za kihindi lazima kuwe na malalamiko ila wafanyakazi hawaachi kazi ...mhindi siku zote ana ajiri watu cheap
Ametumia ujinga wao, mo kitu Cha kwanza kabisa alitaka apewe hati ya jengo wakati anajua fika jengo ni Mali ya wanachama na limepatikana kabla ya yeye kuja. Ameshinikizwa uwanja wa Bunju uitwe jina lake wakati umepatikana kabla ya yeye kuja.Mfumo wa uwekezaji Simba ulipaswa utengenezwe Mo akiwa nje, ila Mo kaichukua Simba ikiwa hoi alafu akailambisha hela kidogo alafu hapohapo akaweka wazo lake la kuwekeza huku asilimia 99 akiweka mawazo yake akijua fika mwishoni yeye atafaidi asilimia 100 huku club ikifa maskini.
Hata sasa kuna mashabiki bado hawaoni kwamba Mo ndio chanzo cha Simba kufanya vibaya.