johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Komredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
Siasa au Sihasa? 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni fundisho kwa UWTKomredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
UWT mmepata somo halisi kuwa CHADEMA haiogopi chochoteNimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Akikujibu nisitueKomredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
Endelea na macho kumchuzi tu! guberi la kiume!Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojiaKomredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
Man City vs Arsenal alishinda nani? 😂Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
Punguza utoto dogo.Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Leo ilikuwa ni maandamano ya polisiKomredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
Amebanwa mdomo wa kuharisha uharo wake wa siku zote.Komredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
Polisi wetu ni waungwana wameona wanaomboleza wasiwaongezee huzuni. Naamini hali ikipoa watawaachia ili wakutane na Rais kuweka mambo sawa.Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
sasa jaribu wewe kajamba nani uone gari utakalo pandishwa na virungu juuuNimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Peleka kule kwa wazee wa mikeka umerogwaniniIla hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
Inawezekana watu walibubujikwa na machozi kumuona Binti Mbowe akiwa amevaa Kapelo nyeusi !Komredi Lucas Mwashambwa una lolote la kuzungumzia Bint Mbowe kuwepo Uwanja wa kuanzia Maandamano pale Magomeni mapipa?
Siasa au Sihasa? 🐼
😂😂😂Inawezekana watu walibubujikwa na machozi kumuona Binti Mbowe akiwa amevaa Kapelo nyeusi !