Lucas Mwashambwa umemuona Bint Mbowe kwenye Viwanja Vya Siasa za Maandamano Magomeni?

Lucas Mwashambwa umemuona Bint Mbowe kwenye Viwanja Vya Siasa za Maandamano Magomeni?

Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Ok sawa tumewajua sasa..

Baada ya Abduli kwenda kwa Lissu nani anayefuata kwenda kumshawishi ili auze chama kama Mbowe?

Kwahiyo CCM hamfanyi siasa za maslahi ya umma kama mnayoinadi ilani yenu bali ni kwa ajili ya matumbo yenu?
 
Back
Top Bottom