SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Polisi wameandamana kwa niaba ya Chadema kwa gharama za serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Massage sent !Polisi wameandamana kwa niaba ya Chadema kwa gharama za serikali.
Arsenale bingwaMan City vs Arsenal alishinda nani? 😂
hakika imekula kwa ccm na serikali dhaifuMassage sent !
Ndivyo Chadema walivyotaka !
Na walijua itakuwa hivyo !
Siasa ni hesabu !
Lioga kweli wewe dogo.muda wote ulikuwa umejificha chumbani unaogopa kwenda kuandamana.Hili ni fundisho kwa UWT
Wewe ndio toto lioga kweli .kazi yako kubwabwaja unafiki ukiwa humu. Sasa mbona hujaandamana?😀😀😀Punguza utoto dogo.
Umeshindwa hata kuandamana na kuishia kujificha tu kama panyaWewe na Lucas wote ni machawa tu.
We unajua me niko wapi?Umeshindwa hata kuandamana na kuishia kujificha tu kama panya
CHADEMA ipi hiyo? Hii ya watu kwenda kujificha chumbani?UWT mmepata somo halisi kuwa CHADEMA haiogopi chochote
BafuniWe unajua me niko wapi?
Sasa sisi Chelsea moto unazidi kuwaka, sasa hv tunapiga yeyote anayekuja mbele yetu.Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Ungejikomboa wewe kwanza na unafiki wako wa kwenda kujificha uchochoroni na kumuacha mbowe na Sacco's yakeKwa hiyo ukiwa CCM hata ukiandamana hupigwei .... Nyie PAKA wa LUMUMBA jikomboeni kwanza kiakili!!
Nilikuwa sijui PhD ya ujinga inakuwaje ila sasa nimeifahamu kupitia wewe! Hongera!Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
Nenda kaandamane huko na siyo kuja kulialia hapa.Nilikuwa sijui PhD ya ujinga inakuwaje ila sasa nimeifahamu kupitia wewe! Hongera!
Nakuambia wewe una PhD ya ujinga! Kwa akili yako unajua kila anaye comment humu JF yupo Dar au huko Nanjilinji kwenu? Members wengi eitha wanaishi hata huko ughaibuni au ana comment wakati yuko nje ya nchi pia.Wewe ndio toto lioga kweli .kazi yako kubwabwaja unafiki ukiwa humu. Sasa mbona hujaandamana?😀😀😀
We unadhani mbowe ni size yako.Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu.
UWT nakisia mpo RuvumaCHADEMA ipi hiyo? Hii ya watu kwenda kujificha chumbani?
Peleka ujinga wako huko, nimezuiwa na polisi 3:09 mpka 5:48Lioga kweli wewe dogo.muda wote ulikuwa umejificha chumbani unaogopa kwenda kuandamana.
Draw ngomaMan City vs Arsenal alishinda nani? 😂