M Matrix19 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2020 Posts 7,731 Reaction score 13,611 Dec 22, 2024 #41 Lucas Mwashambwa said: Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu. Click to expand... Ok sawa tumewajua sasa.. Baada ya Abduli kwenda kwa Lissu nani anayefuata kwenda kumshawishi ili auze chama kama Mbowe? Kwahiyo CCM hamfanyi siasa za maslahi ya umma kama mnayoinadi ilani yenu bali ni kwa ajili ya matumbo yenu?
Lucas Mwashambwa said: Nimeona alikuwa anakwenda sokoni ndio akapewa lifti kwenye gari la police. Si unaona hajapigwa hata makofi tu. Baba yake naye amepandishwa kwenye Gari zuri. Mbowe na wanae Kimoyo wapo CCM ila kimwili ndio wapo CHADEMA kwa ajili ya maslahi tu. Click to expand... Ok sawa tumewajua sasa.. Baada ya Abduli kwenda kwa Lissu nani anayefuata kwenda kumshawishi ili auze chama kama Mbowe? Kwahiyo CCM hamfanyi siasa za maslahi ya umma kama mnayoinadi ilani yenu bali ni kwa ajili ya matumbo yenu?
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Feb 10, 2025 #42 Lucas Mwashambwa said: Lioga kweli wewe dogo.muda wote ulikuwa umejificha chumbani unaogopa kwenda kuandamana. Click to expand... Siku hizi unachungulia tu humu kama kinda la ndege vile
Lucas Mwashambwa said: Lioga kweli wewe dogo.muda wote ulikuwa umejificha chumbani unaogopa kwenda kuandamana. Click to expand... Siku hizi unachungulia tu humu kama kinda la ndege vile
Poppy Hatonn JF-Expert Member Joined Apr 9, 2021 Posts 3,095 Reaction score 4,632 Feb 10, 2025 #43 Binti " mimi kama mimi".