Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.

Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.

View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
We mleta post, una uhakika kwamba Jamaica watu wanaitwa Magufuli?! Bora angeanza na prefix ya President then .....!
 
Pendeni sana kusikilizwa kuliko kusikiliza vivyo hivyo ni bora zaidi ukasomwa na kueleweka kuliko kusoma na kutokuelewa... Maana yangu.. Kama ulikua karibu na media wiki hii... Utajua huyo aliyejichora ni nani?...
 
Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.

Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.

View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
Mbona kama studio za earadio
 
Kama ni permanent baada ya muda pasi itamuhusu tu atakapoona bora kovu kuliko****[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nimeingia net nimesearch tatoos zote za huyo msanii sijaona hii bila kujali maudhui yake hii sio sifa bali ni dhihaka
Ukweli ni kwamba nje ya tofauti zetu za kisiasa magufuli ni kiongozi mzuri mno, sema kwa sababu taifa letu hili limejaa wajasiriamali wa siasa basi hawatakubali, kasi ya magufuli maana wanaona magufuli akasifiwa hawatasonga mbali, kwa sababu siasa yao ni ya kijasiraamali biashara. huyu mzee tumshauli vizuri alisukume taifa letu hili mbele punguzeni dhihaka, na vijembe. Alah magufuli anafaa sana
 
sio luciano ,huyo ni msanii wa kitanzania anaishi south africa anitwa MOSS RED
 
Hakuna RASTA mwenye tattooo aseee. Ila sio kila mwenye dreadlocks ni RASTA

Tafuta huu wimbo

DON'T HAFFI DREAD - MORGAN HERITAGE


Uelewe urasta kidogoooo
 
Against jah
Baadhi ya maneno ya wimbo wa Bro. Lucci
Luciano - It's Me Again Jah

Glory Hallelujah.. hallowed be Thy Name.. oh Most High God

Glory be to the Most High God, hallowed be Thy Name
King of Kings, and Lord of Lords, worthy to be praised
I'll ascribe to you dominion, power and grace
Through the years and years to come, you'll always be the same....

It's me again Jah, as I fall on my knees today
Help me God I pray, don't wanna be carried away
It's me again Jah, as I fall on my knees today
 
Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.

Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.

View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.[/QUOTE
Natoa wito kwa wanamuziki wetu Na wasanii wengine kujichora ili kuenzi kazi njema za Rais wetu. Wasanii ni kioo cha jamii wasisahau.
 
Sasa jamaika si wavuta weed hao , kwan akili zao hizo.
 
Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.

Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.

View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
Source bro
 
Kajichora jina sawa, je amekiri kiwa hilo neno ni jina la mh wetu.. Isijekuwa ina maana nyingine huko..

Angechora sura au akikiri kiwa juyo ni mh wetu itakuwa safi zaid.
Sura wameishindwa kuichora ma tattoo artists wa kingston
 
Back
Top Bottom