Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBONA HAMNA SURA, AU MWNAMUZIKI WA KEKO....Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.
View attachment 400403
Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
Aiseee!JPM is greatest men
Nasubiri nyimbo mpya ya Talib Kweli inayomhusu Magufuli. Sijui atazungumzia nini kwenye hiyo nyimbo..
usipende kudanganya watanzania huyo ni dudu baya na luciano ni huyu hapo chini.
View attachment 400418
swissme
Kuanzia unyimwe ubunge kule jimboni una hasira sana na yule mzee. Najua unajua ninachomaanisha.ULIPO TUPO jichoreni tattoo ya fisadi mlipize.
Luciano wa mabatini mwanzaMBONA HAMNA SURA, AU MWNAMUZIKI WA KEKO....
Mleta mada bora upgwe lisas ya bichwa kwa kdanganya UMA[emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379]Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.
View attachment 400403
Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
duu huyu mleta habari tena sijui alikuwa anafikilia nini labda dudu mwenyew anatafuta kiki huku jf sasa huku kupata kiki ni kaziusipende kudanganya watanzania huyo ni dudu baya na luciano ni huyu hapo chini.
View attachment 400418
swissme
Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.
View attachment 400403
Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.