Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AbsolutelyKumbe habari za Magufuli zimeenea hadi Jamaika..
Mkuu umemaliza kila kitu, sasa tuendelee na shughuli nyingine.Hii ni picha ya mwaka huu ya Luciano
View attachment 400523
Tukumbuke Luciano ni a pure Rastafarian, hawa hawakati nywele na huamini mwili ni hekalu ambalo hutakiwi kulichafua na kitu chochote kisicho asili, vile vile hawaendani kabisa na utamaduni wa kujipiga tattoo.
Katika miaka yake yote Luciano hajawahi kuonyesha tattoo yoyote iweje leo hii ajichore tattoo ya Magufuli na kujipiga picha, iweje apingane na imani yeka ?
Hii picha yako ina mtu anayeonekana kujipiga tattoo kifua kizima, na kibaya zaidi haiendani na ukubwa halisi wa sasa wa Luciano ambaye ni mtu mzima (Miaka 51).
Hizo tattoo kuna maneno "Feza Gang" na DD
View attachment 400525
Hawa wanaonekana ni kikundi cha vijana wanaofanya muziki hapa bongo kutokana na account mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii na logo yao ni kama inavyoonekana hapo chini. Kwa nini Luciano apingane na imani yake na kujichora tattoo za hiki kikundi?
View attachment 400528
Huu ni uchunguzi mdogo niliofanya, na kupuuza hii thread yenye lengo la kupotosha jamii. Zamani JF ilikuwa ni chanzo cha habari za kuaminika lakini kuna members wachache wanazidi kushusha uaminifu wa habari zinazoletwa hapa, Mods kama mnaiona hii post nawaomba mchukue hatua zinazostahili ili kutoshusha thamani ya JF na dhana ya kuwa hapa ni nyumbani kwa Great Thinkers.
Ebu tupe ukweli, kama si kweli.Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
Wenzako tuna ng'ara milele. .....Mwenye Enzi Mungu yuko upande wangu!Unanitia kichefuchefu!
Kwani wasio mheshimu Magu si wanajulikana mkuu?Huyu mwanamuziki anajitambua na daima tukumbuke kuwa nabii kamwe haheshimiki nyumbani kwake!
Na wewe ifanyie photoshop yule rais wa mioyo yenu ufurahi basi!Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
Mbona umeumia sana?usipende kudanganya watanzania huyo ni dudu baya na luciano ni huyu hapo chini.
View attachment 400418
swissme
Yesu hakukubalika kwa watu gani?Nyumbani hakubaliki ina maana gani?
Safi sana...Hii ni picha ya mwaka huu ya Luciano
View attachment 400523
Tukumbuke Luciano ni a pure Rastafarian, hawa hawakati nywele na huamini mwili ni hekalu ambalo hutakiwi kulichafua na kitu chochote kisicho asili, vile vile hawaendani kabisa na utamaduni wa kujipiga tattoo.
Katika miaka yake yote Luciano hajawahi kuonyesha tattoo yoyote iweje leo hii ajichore tattoo ya Magufuli na kujipiga picha, iweje apingane na imani yeka ?
Hii picha yako ina mtu anayeonekana kujipiga tattoo kifua kizima, na kibaya zaidi haiendani na ukubwa halisi wa sasa wa Luciano ambaye ni mtu mzima (Miaka 51).
Hizo tattoo kuna maneno "Feza Gang" na DD
View attachment 400525
Hawa wanaonekana ni kikundi cha vijana wanaofanya muziki hapa bongo kutokana na account mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii na logo yao ni kama inavyoonekana hapo chini. Kwa nini Luciano apingane na imani yake na kujichora tattoo za hiki kikundi?
View attachment 400528
Huu ni uchunguzi mdogo niliofanya, na kupuuza hii thread yenye lengo la kupotosha jamii. Zamani JF ilikuwa ni chanzo cha habari za kuaminika lakini kuna members wachache wanazidi kushusha uaminifu wa habari zinazoletwa hapa, Mods kama mnaiona hii post nawaomba mchukue hatua zinazostahili ili kutoshusha thamani ya JF na dhana ya kuwa hapa ni nyumbani kwa Great Thinkers.
Hicho ni kichefuchefu cha yale matapishi uliyoyala 2015Unanitia kichefuchefu!
Pole ndugu... Penda kusikia usichopenda kusikia utaishi kwa amani sana!Naona mmeamua kuzidanganya nafsi zenu kisa njaa za matumbo yenu acheni kujiumiza ndugu
asante maana haya majizi upeo mdogousipende kudanganya watanzania huyo ni dudu baya na luciano ni huyu hapo chini.
View attachment 400418
swissme
How about, anayemkubali lowassa akapimwe akili, huyu think tank na wafuasi wake imekaaje??Think tank ya ccm ni majanga tupu
Chukua like mkuuAcheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc