Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Msanii wa Feza Gang amejichora Magufuli tattoo.. Watu wamesaini buku 7 zao siku imepita
 
Hii ni picha ya mwaka huu ya Luciano

View attachment 400523

Tukumbuke Luciano ni a pure Rastafarian, hawa hawakati nywele na huamini mwili ni hekalu ambalo hutakiwi kulichafua na kitu chochote kisicho asili, vile vile hawaendani kabisa na utamaduni wa kujipiga tattoo.

Katika miaka yake yote Luciano hajawahi kuonyesha tattoo yoyote iweje leo hii ajichore tattoo ya Magufuli na kujipiga picha, iweje apingane na imani yeka ?

Hii picha yako ina mtu anayeonekana kujipiga tattoo kifua kizima, na kibaya zaidi haiendani na ukubwa halisi wa sasa wa Luciano ambaye ni mtu mzima (Miaka 51).

Hizo tattoo kuna maneno "Feza Gang" na DD
View attachment 400525

Hawa wanaonekana ni kikundi cha vijana wanaofanya muziki hapa bongo kutokana na account mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii na logo yao ni kama inavyoonekana hapo chini. Kwa nini Luciano apingane na imani yake na kujichora tattoo za hiki kikundi?
View attachment 400528

Huu ni uchunguzi mdogo niliofanya, na kupuuza hii thread yenye lengo la kupotosha jamii. Zamani JF ilikuwa ni chanzo cha habari za kuaminika lakini kuna members wachache wanazidi kushusha uaminifu wa habari zinazoletwa hapa, Mods kama mnaiona hii post nawaomba mchukue hatua zinazostahili ili kutoshusha thamani ya JF na dhana ya kuwa hapa ni nyumbani kwa Great Thinkers.
Mkuu umemaliza kila kitu, sasa tuendelee na shughuli nyingine.
 
Huyu mwanamuziki anajitambua na daima tukumbuke kuwa nabii kamwe haheshimiki nyumbani kwake!
Kwani wasio mheshimu Magu si wanajulikana mkuu?

Ni wale wa upande waliokubali kuuza chama!

Kwani Yesu alipingwa sana na kina nani,? Jibu unalo!
 
Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
Na wewe ifanyie photoshop yule rais wa mioyo yenu ufurahi basi!

Kushikiwa akili ni kubaya sana...
 
Hii ni picha ya mwaka huu ya Luciano

View attachment 400523

Tukumbuke Luciano ni a pure Rastafarian, hawa hawakati nywele na huamini mwili ni hekalu ambalo hutakiwi kulichafua na kitu chochote kisicho asili, vile vile hawaendani kabisa na utamaduni wa kujipiga tattoo.

Katika miaka yake yote Luciano hajawahi kuonyesha tattoo yoyote iweje leo hii ajichore tattoo ya Magufuli na kujipiga picha, iweje apingane na imani yeka ?

Hii picha yako ina mtu anayeonekana kujipiga tattoo kifua kizima, na kibaya zaidi haiendani na ukubwa halisi wa sasa wa Luciano ambaye ni mtu mzima (Miaka 51).

Hizo tattoo kuna maneno "Feza Gang" na DD
View attachment 400525

Hawa wanaonekana ni kikundi cha vijana wanaofanya muziki hapa bongo kutokana na account mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii na logo yao ni kama inavyoonekana hapo chini. Kwa nini Luciano apingane na imani yake na kujichora tattoo za hiki kikundi?
View attachment 400528

Huu ni uchunguzi mdogo niliofanya, na kupuuza hii thread yenye lengo la kupotosha jamii. Zamani JF ilikuwa ni chanzo cha habari za kuaminika lakini kuna members wachache wanazidi kushusha uaminifu wa habari zinazoletwa hapa, Mods kama mnaiona hii post nawaomba mchukue hatua zinazostahili ili kutoshusha thamani ya JF na dhana ya kuwa hapa ni nyumbani kwa Great Thinkers.
Safi sana...
Umemaliza! Nlivyoiona hii thread nilipata mshangao kidogo! Nilichokiwaza naona ndio ulichokisema!...
 
Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
Chukua like mkuu
 
Back
Top Bottom