el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Katika kile kinachoonekana kama kukubalika kwa Rais Magufuli nje ya Mipaka ya Tanzania na Afrika kwa ujumla, Msanii kutoka Jamaica ameamua kujichora Tattoo ya Rais John Pombe Magufuli , imekuwa ni kawaida kwa mastaa mbalimbali kujichora tattoo za Marais Maarufu kutoka afrika hasahasa ya Mzee Mandela .
Source- Michuzi