Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Anaimba muziki wa aina gani? Ndio leo namsikiaWa Jamaica
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaimba muziki wa aina gani? Ndio leo namsikiaWa Jamaica
Tweetersource please
tweeter kubwa mkuu kuwa specific angalau utupiemo hata ka linkTweeter
Huwa wanapenda kujichora ngeAmesema ndiye rais anayemkubali Afrika.
Wewe mbona unaitwa Tata Madiba, kuna meingine anaitwa Diamond Platinum, ni majina ya kitanzania hayo?Wewe ndo muongo, Mtanzania anaitwa Las Laciano?
ua, sura, herufi nk katika mwili ni mchoro. Kwaiyo kajichora mchoro unaoonekana kama jina.sasa amejichora tatoo ya magufuli au amejichora tattoo kaandika jina la magu?
Kumbe hujui asili ya jina hilo!? basi uliza ueleweshwe.Nani alikwambia Erick ni jina la Kijerumani?
Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
usipende kudanganya watanzania huyo ni dudu baya na luciano ni huyu hapo chini.
View attachment 400418
swissme