Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Salute..
Aisee naandika haya toka moyoni kabisa ndaaani kulee. Nampenda sana Lucky Dube nyimbo na mfumo wa maisha yake. Nimekua nasikiliza nyimbo,interview na shoo zake zinanivutia sana.
Katika nyimbo zake zote nilizowahi zisikia hakuna wimbo mbaya na usio na ujumbe wa kugusa.
Nyimbo kama
Kiukweli japo alikua ana mapungufu yake kama mwanadamu lakini nadhani alipo yupo mahali pazuri. Kutokana na juhudi kubwa alizofanya kuleta usawa miongoni mwa Watu wa rangi za mataifa mbalimbali pia kuchangia Liberation of African Continent. Niichojifunza toka kwake ni Kuishi vyema na kuwa mzarendo wa nchi yangu na bara letu kwa ujumla.
Lucky Dube miaka 11 sasa umetutoka lakini utaendelea kuishi moyoni mwangu daima, I wish mwanangu nimpe jina moja kati ya haya majina matatu (Nyerere,Lucky Dube, Da'Vinci)
"If you see Blackman suffering does it make you happy?
If you see Whiteman does it make you happy"
-LuckyDube_Hand of giveth
Aisee naandika haya toka moyoni kabisa ndaaani kulee. Nampenda sana Lucky Dube nyimbo na mfumo wa maisha yake. Nimekua nasikiliza nyimbo,interview na shoo zake zinanivutia sana.
Katika nyimbo zake zote nilizowahi zisikia hakuna wimbo mbaya na usio na ujumbe wa kugusa.
Nyimbo kama
- Peanut butter
- Back to my root
- Hand of giveth
- I got you jah
- House of exile
- Slave
- Remember me
- No truth in world
- Think about children
- Don't Cry
- Group area act
- That is the way
- Is this the way
- Eyes of beholder
- God bless the woman
- Hold on
- Keep knocking
- Khululeka
- Usizi
- Crazy world
- Prisoner
- Feel irie
- Jah live
- Is not easy
- Can't blame you
- Don't say no
- Children in the street.
- N.k n.k
Kiukweli japo alikua ana mapungufu yake kama mwanadamu lakini nadhani alipo yupo mahali pazuri. Kutokana na juhudi kubwa alizofanya kuleta usawa miongoni mwa Watu wa rangi za mataifa mbalimbali pia kuchangia Liberation of African Continent. Niichojifunza toka kwake ni Kuishi vyema na kuwa mzarendo wa nchi yangu na bara letu kwa ujumla.
Lucky Dube miaka 11 sasa umetutoka lakini utaendelea kuishi moyoni mwangu daima, I wish mwanangu nimpe jina moja kati ya haya majina matatu (Nyerere,Lucky Dube, Da'Vinci)
"If you see Blackman suffering does it make you happy?
If you see Whiteman does it make you happy"
-LuckyDube_Hand of giveth